Tuesday, February 21, 2012

VIFAA VIPYA VYA RJ VYAANZA KUFANYA KAZI

 Kama kawaida wadau nilisema kuwa mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko kwa kampuni yako ya RJ company, Tutafanya mambo makubwa katika tasnia yetu ya filamu nilisafiri na kushuka na vifaa vya nguvu hapa ni kazi mambo mengine no watu watasema kwa kazi tu, wadau tegemeeni mambo mapya katika mzigo huu mpya unaopikwa na vijana wako wanaofanya kazi kwa kujituma.

 Hii ni Crane. hiki kifaa kinatumika mara nyingi kwa scene za nje na za ndani mtaona wenyewe tofauti kubwa wala nisiseme mengi

 Cheki mwenyewe mimi sisemi


 Mambo yakiendelea ,,,,,,,,

 Camera ikiwa juu kabisa ili kupata shorts nzuri

 Mambo mengine haya jamani hili ni Dolly mara nyingi utumiwa katika shorts za kutembea na kuleta radha tofauti kabisa

 Vijana kazini

 Hii ni monitor kwa ajili ya kuhakiki picha kama iko sawa mara nyingi utumia kwa nje ndani huwa natumia tv

 ON SET

 Haya kazi nyingine hiyo mimi ufanyaga vitu kwa vitendo na sio maneno hiki kifaa kinaitwa Steady Cam matumizi yake katika scene za kutembea barabarani, kukimbia na mambo mengineyo mengi

 Cheki watu wailvyokuwa makini

 Mambo hayo

 Baba na Mwana, humu ndani ni hatari sana

 Hatari sana


Saturday, February 4, 2012

MAIMATHA AFUNGA PINGU ZA MAISHA

 Mtangazaji maarufu wa TBC television ya taifa Maimatha wa Jesse juzi alifunga pingu za maisha na kutoka katika chama cha ukapera na kuingia katika maisha ya ndoa sherehe iliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Vip, Tunawatakia maisha mema katika maisha yenu mapya muwe wavumilivu katika shida na raha katika kuijenga familia yenu Mungu yuko nyuma yenu katika ndoa yenu hivyo msimuweke kando siku zenu zote za maisha yenu

 Wageni waalikwa wakifuatilia jambo lililokuwalikiendelea siku hiyo iliojaa mastaa kibao wa nchini Tanzania

 Flowerrrrrrrrs

 Wakati wa burudani ulifika na mwanamuziki wa taarabu Dada yetu Hadija 
Kopa alitumbuiza katika harusi na kuleta burudani ya aina yake

 Penny na Kajala Masanja kulia 

 Penny

 Kajala

 Sajenti

 Wamependeza jamani

 Mainda

 Hadija Kopa akifanya mambo yake

 Hatariiiiii mwanamke nyonga shepu majaliwa

 Flower

 Kama kawaida ya madada zetu bize na simu 

 Picha ya kumbukumbu

Pamoja tunawakilisha

BONGO MOVIE NDANI YA TMES FM

 Bongo Movie club juzi kati waliivamia Redio ya Time Fm na kufanya shoo ya nguvu sana watangazaji wetu walikuwa Masanja Mkandamizaji pamoja Steve Nyerere,Dhumuni lilikuwa ni kuwachangisha wadau wakubwa wa tasnia ya movie kwa ajili ya wenzetu waliopatwa na mafuriko makubwa pale Jangwani,tuliguswa sana na maafa hayo na ndio maana tukasukumwa kufanya jambo ilo kwani watu wengi wanaonunua kazi zetu ni watu wa hali chini sana kwa asilimia 70 kama sikosei,Sasa ni jukumu letu sisi kwarudisha shukrani zetu dhati kwa kujitolea kufanaya tukio ilo pia leo usikose kuja pale Uwanja mpya wa Taifa kuna mechi kali kati ya Bongo movie na Wanamuziki wa Dance kiingilio ni shilingi alfu mbili tu pesa zote zitazopatikana zitaenda kwa ndugu zetu waliopatwa na maafa hayo

 Masanja akiwa kazini kuendesha zoezi ilo kulia Mkoloni mwanamuziki wa kizazi kipya kma mnakumbuka walikuwa na kundi lililokuwa likiitwa Wagosi wa Kaya

 Mainda na Steve Nyerere

 Mambo yakiendelea.....

 Chopa Mchopanga naye alikuwepo katika zoezi ilo

 Davina mrembo wa Bongo Movie

 Mainda mwanadada machachari katika fani ya uigizizaji, Yeye ni mwanakamati mkuu katika swala zima la ushagiliaji pale Uwanja wa Taifa ni sipakukosa

 Wanabongo Movie wakiwepo ndani ya mjengo wa Times Fm 

 Dada Heriety Chumila mwanabongo movie, Yeye pia alipatwa na mafuriko na kupoteza kila kitu na kuanza upya naye alikuwepo kuwawakilisha wanzake wote waliopatwa na janga ilo

Karibu Uwanja wa Taifa kuona mechi kali .

Thursday, February 2, 2012

RESPECT OF NYERERE

 Kijana mdogo anayekuja kwa kasi katika tasinia ya filamu nchini Tanzania 
Steven Mengere(Nyerere).
Hanakuja na mzigo mpya unaoitwa Respect Of Nyerere ni story inayozungumzia maisha ya mwalimu Nyerere na hapa wakiwa na mama Maria Nyerere wakipata mawaidha kabla ya kuanza shooting uko Butihama

 Wakiendelea kupata mawili machache yaliyokuwa yakifanywa na Mwalimu Nyerere enzi za uhai wake.

 Picha ya kumbukumbu pamoja na mama Maria Nyerere.

 Hapa wakiwa katika kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 Kazi imeanza!

 Cheki mwenyewe kijana alivyokuwa na njaa pamoja na shida


 Rechel na Davina kulia

 Vijana wakiwa kazini kuhakikisha kuwa hawakosei wanachokifanya maana mtu wanaomcheza alikuwa ni mtu mkubwa sana kataka nchi hii

 Nyerere akiwa na Ally Yakuti mwandishi mkubwa script hapa nchini Tanzania

 Hapa Mwalimu Nyerere akiwa na waanndishi wa habari shambani kwake


 Mainda pamoja na Saguda Gorge, hawa ndio maproduction manager wa kampuni ya Nyerere the Power

 Hapa Mwalimu Nyerere akiwa anacheza bao, Wadau hii ni sehemu kubwa ya Baba wa Taifa alipokuwa akichezea bao

 Mainda akiwa kazini kama kawaida yake uwa hafanyi makosa akiwa kazini

 Steve Nyerere katika pozi

 Ally Yakuti

 On Set

 Mambo yakipamba moto

Hatariiiiiiiiii vijana wana njaa sana cheki huyo mwandishi wa habari bwana Juma Chikoka akifanya vitu vyake