Wednesday, May 30, 2012

TUNAISHUKURU SERIKALI YA RAISI JAKAYA KIKWETE


Tunafarijika sana sisi wasanii na serikali yetu ya sasa hatuna cha kuwapa zaidi ya shukrani zetu za dhati kwenu kwa kipaumbele mnachotupatia kwa sasa hii haijawahi kutokea katika serikali zote zilizopita tunakushukuru sana Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Dk Jakaya Mrisho Kikwete kwa kututhamini sisi wasanii wa Tanzania, kwanini nasema hivi leo.., serikali yetu ya Tanzania imetoa milioni kumi kwa famila ya marehemu Steven Kanumba kama rambirambi ya serikali yetu. Familia ya The Great na sisi wasanii wote Bongo Movie tunasema tunawashukuru sana..


Naibu Waziri wa utamaduni na michezo Mhe, Amos Makalla akiwa anawasili nyumbani kwa marehemu Kanumba kwa ajili ya kutoa rambirambi hiyo sisi wasanii tunasemaje Mhe.Amosi Makala ni chaguo sahihi katika wizara aliyopewa tunampenda sana maana anajali sana wasanii



Mh; Amos Makalla akisalimiana na Mama mzazi wa The Great



Mheshimiwa akiwa makini kufuatiliia ratiba zinazoendelea..



Mama wa marehemu (Mama Frola) akiwa na majonzi akisubiri kinachoendelea.



Mtitu Game mkurugenzi wa game 1st quality


Mh; Amos Makalla akiongea machache na vyombo vya habari .


Mama wa marehemu akiwa na Mh; Amos Makalla.
 

Mh; akiwa ameshika kiasi cha milioni kumi(mil 10) kwa ajili ya kukabidhi kwa familia ya marehemu kama rambi rambi ikimwakilisha Mh. Rais Jakaya Kikwete na Serikali yake.



Kabla ya kukabidhiana mama aliongea machache na kutoa shukrani zake kwa serikali..


Makabidhiano yakafanyika.



Mama akipokea pesa hizo kwa majonzi makubwa



Mama wa marehemu akionyesha kiasi cha fedha alichokabidhiwa kwa niaba ya ndugu na jamaa waliokuwepo


Mama akisaini mkataba toka kwa mwanasheria wa Wizara habari utamaduni na michezo



Seth(Mdogo wa marehemu) naye pia alisaini kama shaidi.



Mh; akisaini.

JB

Mtitu na Mama wa marehemu.

Jack wolper



JB na Tino.



The Greatest nikiwa na mama tukiteta jambo.



The Greatest.



Mama Frola na The Greatest.



Dada wa marehemu(Bela ).


Jenifer Kiyaka akiwa na Mama wa marehemu.



Jenifer Kiyaka na Mama Asha Baraka.



Steve Nyerere mkurugenzi wa kampuni mpya ya kisasa inayotambulika kwa jina la OS akiwa na Mh; Amos
Makalla Baada ya matukio yote kuisha


END......

Sunday, May 27, 2012

SHEREHE YA YUNA(YOUTH OF UNITED NATIONS ASSOCIATION TANZANIA)ILIYOFANYIKA VIWANJA VYA USTAWI WA JAMII ON 26/05/2012

 Ni sherehe ambayo iliudhuliwa na wana vyuo mbalimbali katika viwanja vya ustawi wa jamii.Sherehe inayohusu uchangiajia wa chama cha YUNA(Youth of United Nations Association Tanzania)

 Na sio wanachuo peke yao kulikuwa na wanafunzi kutoka shule mbalimbali mkoani Dar es Salaam.

 Joketi alikuwa ndiye muongozaji wa sherehe mwanzo hadi mwisho.

 Joketi akiwa Ruben wa take one kipindi cha Clouds Tv

 The Greatest nikiwa ndo nimefika kwenye sherehe hiyo kama mgeni rasmi katika shughuli hiyo ya uchangiaji wa wanachuo wa Yuna walikuwa wanahitaji michango kwa ajili ya kuwa na ofisi yao nami nilichangia laki tano za Kitanzania pia watu wengi waliiomba kupiga picha na mimi nakulipishwa alfu mbili na kuziingiza katika uchangiaji huo

 Nikiongea machache.

 Nikiwa na baadhi ya wanakamati

Nilipewa nafasi kubwa sana kwa sababu nilikuwa ndiye mgawaji wa vyeti ambavyo viliandaliwa na chama hicho.

Hongera sana mama. 

Hongera Brother

HONGERA.

Wanachama walifurahi sana kukabidhiwa vyet na The Greatest
Safi sana vijana nawashukuru pia kwa kuona nafaa kuwa mgeni rasmi
 Shughuli za ugawaji vyeti zikiendelea.

 Mambo yalikwisha namna hii

Baada ya shughuli kuisha wanachama waliiomba kupiga picha na mimi sikusita kufanya hivyo

THE MBONI SHOW

The Mboni Show ni kipindi ambacho kimeandaliwa na Mboni Masimba na ndiye mtangazaji wa kipindi hiki ambacho kitaanza kurushwa hivi karibuni na EA TV.Ni kipindi ambacho kinazungumzia maisha ya wasanii,Siasa na jamii kwa ujumla, kwa hiyo Mboni alitualika katika party ya kuzindua kipindi chake nami nilikuwa mmoja wa wageni waliofika kushuhudia kipindi hicho ongera Dada Mboni kwa kipindi kizuri..

 Huyu ndiye Mboni Masimba akitoa shukrani zake za dhati kwa wageni walofika kwenye uzinduzi wa kipindi chake, kapendeza mtoto jamani au wadau mnasemaje?

Gadna aliyevalia suti nyeusi  ndiye muongozaji wa sherehe hiyo ya The Mboni Show .

 Kama kawaida ya The Greatest kupendeza kwake ni jadi yake nilikuwepo pia kushuhudia mambo yanavyoenda 

 The Greatest nikiwa na Hatman Mbilinyi,Daudi katika uzinduzi wa kipindi cha The Mboni Show 

Mboni akiwa na wadau. 

Auntie Rehema Macho na Inno Bachard katika picha ya pamoja

 Steve Nyerere na Auntie

 Mambo yakiendelea kupamba moto

 Saguda wa Rechael kulia na Daudi Mambi huyu jamaa ni mdau mkubwa wa Bongo Movie na Bongo Fleva

Nargis Mohamed, Sinta pamoja na meneja wa Wema Sepetu bwana Mrtin
Kadinda walikuwepo nao wakiwakilisha

Wema vipi tena hapo na Auntie shwari mbona kama shari ahaaaaa natania tu hapa walikuwa wakiteta jambo

 

Wema na wadau wa mjini


Vijana wangu wakizazi kipya haoooo wamependeza sana , safi sana unajua msanii ni kioo lazima uwe smart Ommy Dimpo kushoto na Producer wa muziki bongo Lamaa

The Greatest akiandika jina kama mgeni aliyeweza kufika kwenye party hiyo pamoja na saini za kumwaga, bongo siku hizi kama ulaya tu

Ommy Dimpo na Gadna

Izo Business na Dj Choka
Vijana wa kampuni ya I VEW ni kampuni inayotengezaga macover ya movie zangu

Wageni waalikwa


JB na THE GREATEST


Wema Sepetu

Diamond the Plutinum

Ommy Dimpo akitumbuiza


Mboni Masimba aliendesha kipindi live siku hiyo
Diamond katika mahojiano

 

Keki ya The Mboni Show, walilishwa wadau wa karibu wa Mboni Masimba

Wakikata keki kwa pamoja