Monday, December 31, 2012

HONGERA TERRY


Shamsa Ford juzi kati alifanya party kubwa kwa ajili ya mwanae kama shukrani kwa mwenyezi Mungu kwa kiumbe alichompatia nakuwaalika wasanii wanzake wengi ili kumpa sapoti kama kawaida ya  Bongo Movie Unit kupeana ushirikiano pale linapotokea jambo tucheki mambo yalivyokuwa...

Shamsa Ford akiwa na mwanaye Terry Dickson.

 Irene Uwoya akiwasili.

Shamsa pamoja na rafiki yake kipenzi Zamaradi Mketema mtangazi wa kipindi cha  Take One mwenye top nyekundu wakiwa na mdau.

 Ulifika wakati wa kufungua Shampeni , The Greatest niliwakilisha vyema.

 Mambo yakiendelea kupamba moto..

 JB pia,,,

 Kwa upande wakina Dada waliwakilishwa na Davina.

 Taratibu zikiendelea..

 Ulifika muda wa Keki, Shamsa akimlisha mchumba wake Dickson


Irene Uwoya akila keki..

 Ulifika muda wa Maya kula keki..

 Mama wa Bongo Movie Eliethy Chumila naye akuwa nyuma katika upande wa keki

 Cath Rupia.....

 Mariam Ismail..

 Ule muda muafaka wa The Greates kula keki ulifika.

Nikipata picha ya pamoja.


Mkurugenzi wa 5 Effect Wiliam Mtitu  kwenye picha ya pamoja na Shamsa na mchumba wake.
 Inno mdau namba moja wa Rj Company bila kukosa..

 Mambo ya ulabu palikuwa hapatoshi wadau.

 Msosi time.

 Muda wa kutoa zawadi...

 Kama kawaida ya Erick Ford( JB) kumwaga pesa kama njungu ni kawaida yake.

 Juma Chikoka naye akuwa nyuma katika kutoa mkono wa pongezi

 Taratibu za kutoa zawadi zikiendelea...

 Batuli(Neshi) akimwaga madolari.

 Davina naye akimwaga mvua ya pesa kwa Shamsa

Vivian naye akifanya mambo yake.

 Rado akitoa shoo ya hatari sana...


 Dickson Mchumba wa Shamsa akiongea machache kuwashukuru Bongo Movie na wadau wote.

 Single Mtambalike akimwaga cheche zake.

The Greateast nami nikiongea machache.

 Dick aliweza kufanya suprise kubwa ya kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake...

 Akiwa na furaha kubwa...

Shamsa akitoa neno lake la shukrani kwa wadau wote walioudhuria party ya mwanae na kuelezea furaha aliyonayo baada ya kuvishwa pete ya uchumba.

Friday, December 21, 2012

IRENE UWOYA NA MWANYAMALA HOSPITALI

Wadau wa kiwanda cha tasnia hapa nchini msanii wenu mkubwa mnaompenda Irene Uwoya juzi ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa, na msanii huyo alichokifanya ni tofauti na mastaa wakubwa wanavyofanyaga birthday zao kunywa pombe na kula bata la nguvu, lakini mlimbwende huyu yeye aliamua siku yake ya kuzaliwa kwenda kushiriki na wagonjwa wa Mwananyamala Hospital kwa kuwaona na kuwasaidia misaada mbalimbali hongera sana Irene Uwoya kwa ulichokifanya ni mfano wa kuigwa..

                    
Irene Uwoya akiwa anawasili kwenye Hospitali ya Mwanyamala.


Single Mtambalike...

Uwoya akuwa peke yake kwenye msafara huo bali alisindikizwa na wasanii toka Bongo Movie Unit kama mnavyowaona kwenye hiyo picha.

Ratiba zikiendelea...

Juma Chikoka(Chopa) akimsaidia Irene kutoa msaada..

























Irene akitoa msaada uku akiwa na uchungu mkubwa baada ya kuonana na wagonjwa..

Ugawaji wa baadhi ya misaada ikiendelea..

Wagonjwa walimpongeza sana kwa uwamuzi aliouchukua katika siku yake ya kuzaliwa, Walisema ni wachache sana wenye maamuzi kama hayo..

Wagonjwa wa Mwananyamala Hospital walimshukuru sana Irene Uwoya kwa kitendo alichokifanaya..

Thursday, December 20, 2012

ARUSHA TRIP

Siku tatu zilizopita Bongo Movie Unit ilifanya ziara Jijini Arusha kwa ajili ya Semina ya kujenga mahusiano mazuri kati ya Bongo Movie Unit pamoja na Arusha Movie, Hii yote nikuonyesha ushirikaono na watengenezaji Movie wa Majiji mengine, licha ya tukio ilo tulicheza mechi kati yetu na Arusha Movie wacha tucheki mambo yalivyokuwa ndani ya Jiji la Arusha..

Tukiwa ndani ya safari kuelekea Jijini Arusha..

 Jimmy kapteni na Tino...

Tukipata  chakula pamoja na vinywaji maeneo ya Korongwe.

 Rahim na Muba...

 Rado wa kwanza kushoto  akiwa na Messi wa Bongo..

Tukiwa tumeshaingia katika Jiji la Arusha, Katibu Mkuu wa Bongo Movie Unit bwana Salum Choma akiwa katika pozi la mbwembwe.

Ulifika muda wa mechi na hapa tukipata maelekezo ya timu meneja ambaye ni Single Mtambalike.

 Marefa wakijiandaa kwa mpambano..

 Matimu Kapteni wa timu zote mbili wakiongoza Jahazi.

 Tukifanya mazoezi madogo madogo..

Mstari wa pamoja kwa ajili ya timu zote mbili kukaguliwa..

 The Greatest nikifanya utambulisho kwa wachezaji wenzangu.

 Hapa nikimtambulisha Rado au Baba Marge..

Timu Meneja Single Mtambalike bila kukosa..

Odama na Cathy wadada wa Bongo Movie.

 Mpambano ukikaribia kuanza

Maya na Rechel maua ya Bongo Movie..

Mpaka half time mambo yalikuwa ni 0 kwa 0.

 Chiki Mchoma...


 Recho Haule na Jack Wolper...

 Haji Magori aliweza kutupatia gori la kwanza kabla ya kipindi cha pili kuisha..

 Madada wa Bongo  Movie hawakuwa nyuma kwenye kushangilia.....

 Katibu Chiki na Mwenyekiti Mstahafu JB wakifurahia ushindi....

 Mechi iliweza kuisha Bongo Movie wakitoka kimasomaso kwa ushindi wa bao 1-0.Wageni rasmi wakijiandaa kwa kutoa Tunzo.

Timu  pinzani walizawadia mpira..

 Tulivishwa Medari na mgeni rasmi....

 Taratibu zikiendelea..

 Choppa...

 Tukishangilia ushindi..

 Tulipata picha ya pamoja..