Saturday, March 24, 2012

COVER LA SOBBING SOUND

Wadau cover la SOBBING SOUND ndilo ilo hapo mnaloliona sasa wewe mwenyewe utasema vichwa vitatu katika mzigo mmoja ni hatari sana haya twendeni chini muone behind the scene za SOBBING SOUND

SOBBING SOUND

 Mzigo mpya toka kampuni ya RJ company kwa jina la movie ni SOBBING SOUND.ni mapinduzi makubwa sana yamefanyika ndani ya mzigo huo sina mengi sana ya kuongea tusubiri na tuone mambo makubwa toka kwenye kampuni yako ya uhakika RJ COMPANY

 Mzingo ukiendelea kupikwa kwa makini sana hapa The Greatest na Uwoya on set

 Hapa tukipitia script kabla ya kazi kuanza

 Wadau wa RJ company wakifuatilia jambo

 Vijana kazini

 Mambo yakiendelea

 Hospital

 Ofisini mzigo ukiendelea kupigwa

 Kijijini radha toauti

 The Greatest na wasanii wake wapya

Air Port mambo yakiwa yanazidi kuendelea wadau huu mzigo si wakuukosa

HAPPY BIRTHDAY BONGO MOVIE 2

 Wadau kama nilivyowaambia kuwa kuna matukio kibao bado sijawatupia mapicha ya kutosha katika party ya kijanja ya vijana wenu wa Bongo Movie club ulifikika muda wa wasanii wa Bongo Movie kupewa tuzo kwa uvumilivu na kijitoa kwa asilimia mia katika club kwa kuifanya iwe  imara madhubuti na wasanii wake kuwa na upendo wa kweli na kuhakikisha umoja unadumu daima unaambiwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni dhaifu tunamuomba Mungu hatupe maisha marefu katika umoja wetu kama mnavyomuona kijana wenu The Greatest nikipata tuzo yangu vijana wengi upenda kuniita Mr Bongo movie kwa sababu mastaa wengi mnaowaona wametoka katika mikono yangu ila kwa bahati mbaya binadamu tumeumbiwa kusahau...

 Steve Nyerere akipoke tuzo toka kwa mgeni rasmi Riz One Kikwete

 Huyu ndiye Mume wa Dada yetu Catty Rupia anaitwa Rupia mwenye fulana ya mistari meusi yeye ni mdau wa karibu sana wa Bongo Movie club amekuwa akitoa misaada mingi tu kwenye club yetu tunashukuru kaka naye akipata tuzo kama shukrani zetu kwake

Mama Lolaaaa mlezi wa Bongo Movie naye akipata tuzo yake alifurahi sana kwa kuona vijana wake wanavyomthamini
Muwakilishi kutoka kampuni ya Steps wasambazaji wakuu wa kazi zetu Bwana Jay naye akipokea tuzo kwa kazi nzuri wanazozifanya

 

Muda wa burudani ukaanza kama mnavyowaona vijana wakilisakata dance Richie pamoja na Mainda Band ya Mashujaa inawatafuta ili wapate ajira

Mwanamuziki wa kizazi kipya Barnaba akitoa shoo ya nguvu

William Mtitu mkurugenzi wa 5 Effect alikuwepo na shemeji yangu nyuma yake

Mambo yanapamba moto jamani

Steve Nyerere akipambana na mwanamuziki wa Mashujaa Band Chalz Baba
Kingunge Torres aliyevalia nguo nyeupe
Wacaha weeee Omarry Kimosa

Sajenti

Robby One pamoja na Ncha Kali wa Clouds Fm kulia
Muda wa msosi ukafika

Sajent na Hartman makamo mwenyekiti wa Bongo Movie club


Watu wakipata misosi ya nguvu



Odama na Johari

Monday, March 19, 2012

HAPPY BIRTHDAY BONGO MOVIE CLUB

 Bongo Movie club yafanya party kubwa ya kutimizwa mwaka mmoja tangu ianzishwe iliyofanyika katika viwanja vya Bussiness iliopo maeneo ya Victoria. Ni vigumu sana kwa wasanii Tanzania kuanzisha kitu chenye umoja na kufikisha mwaka mmoja kwa kweli Bongo Movie club wanastahili sifa kubwa sana. maana kiuhalisia sisi wasanii bongo tuna matatizo sana atuna umoja wala upendo wa dhati toka katika mioyo yetu zaidi ya kuchekeana kichina tu lakini tunaamini kwa nguvu za Mungu wa imani tutabadilika na kuwa wenye upendo wa dhati.

 Viongozi wa Bongo Movie club wakipata picha ya pamoja The Greatest kati Richie Richie na Hartman Mbilinyi vijana wamendeza na suti zao za ukweli.

 Kama kawa mambo yakiwa yanazidi kunoga

 Wazee wa kale hao Mzee Korongo akiwa pamoja na mzee Mbembe kushoto party ilipendeza sana jamani

 Mnakumbuka jamani Bi Kidide enzi za Koale kukundi kilichotoa mastaa wengi mnaowaona sasa wakitesa katika tasnia za filamu 

 Wema Sepetu ndani ya Red Capet akipata interview toka kwa mtangazaji wa Staar tv Dada yetu Sauda Mwilima

 Wema na Ray

 Tino na Sandra

 Viongozi wakiteta jambo

 Wageni waliodhuria sherehe ya Bongo Movie club ya kutimiza mwaka mmoja

 Maya na Recheal picha ya kumbukumbu

 Wema sepetu na rafiki yake

 Johari na Uwoya

 Mwanamuziki wa kizazi kipya Sheta wa kati naye alikuwepo

 Steve Nyerere wa katikati pamoja Iddi aka( Mchongo) wa kulia

 Wolper na Odama kulia

 Amani kwenu warembo wa Bongo Movie club

 Rizi One Kikwete mtoto wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akifungua rasmi party kwa kuwasha mishumaa kwenye keki rasmi iliyoandaliwa kwa siku hiyo

 Mwenyekiti wa Bongo Movie club JB akiweka mambo sawa katika upande wa keki

Keki yanye mfano wa Camera yani ikiashiria ndio kitendea kazi kukibwa sana katika upande wa kazi zetu, Bongo Movie club 2012 nitwaletea matukio mengine yaliyojiri mambo bado sana kulikuwa na burudani za kutosha

Wednesday, March 14, 2012

KONFA BUSINESS LODGE OPENING SOON

 Haya wadau wa town kuna kitu kipya kinakuja kuteka na kukamata jiji katika upande mzima wa sehemu ya  kupumzika kuna sehemu mpya inaitwa KONFA BUSINESS LODGE ni sehemu nzuri sana iko mitaa ya Mbezi Beach kwa maelekezo zaidi nitawafahamisha vizuri na inategemewa kufunguliwa wiki mbili zijazo ni sehemu nzuri sana na bei zao ni poa sana  karibuni sana

 Cheki geti ilo lakisasa kabisa wewe mwenyewe sema mimi sisemi

 RECEPTION

 Maandalizi yanaendeleaaa

 Chumba cha kulala

 Bafu, ni hatari sana jamani duhuuuuu



 Urembo wa kutosha ndani ya BUSINESS LODGE

 Simu ya chumbani ukitaka uduma

 Jamani hapa ni bongo wala si ulaya kila kitu sasa hivi kinapatikana bongo 

 Tv ya kuangalia baada mihangaiko ya mchana kutwa

 Mandhari ni nzuri sana jamani 

 The Greatest nikikagua baadhi ya maeneo

 Mambo yakiendelea

 Kiooo

 KONFA BUSINESS LODGE

 Kwa juu panavyoonekana

 Sehemu ya kupumzika ukiwa na mwenza wako

 KONFA BUSINESS LODGE

 Kiti cha massage

 Chumba cha nguvu

 Koridoni

 Geti

 Urembo wa kutosha maeneo ya BUSINESS LODGE

 WELCOME

 Bar

 Kwa nje panavyoonekana

 Mazingira safi sana

 Sehemu ya kupata moja baridi moja moto

Mzani wa kupima uzito baada ya kutoka msalani