Monday, April 23, 2012

TAMKO RASMI KUHUSU SHUTUMA DHIDI YANGU JUU YA KIFO CHA KANUMBA

Yapata wiki tatu sasa tangu msanii mwenzangu Steven Kanumba aage dunia, na kama ilivyo kwa kila kitu kinapotokea huandamana na kila aina ya maneno na hisia mbali mbali kutokana na mitazamo ya watu kupishana kuhusiana na jambo husika. Kulingana na muktadha huo, msiba wa Steven Kanumba umekumbwa na maneno na hisia kama hizo, hususan mazingira ya kifo chake; kinachosikitisha zaidi watu wengi (ambao wanajitambulisha kama wapenzi wa Kanumba), na baadhi ya vyombo binafsi vya habari vimekuwa vikinihusisha na kifo hicho, kwa kusema kwamba kwa njia moja au nyingine ninahusika na mauaji ya Steven Kanumba. Kwa muda wote huo tangu msiba ulipotokea mpaka leo hii nashika kalamu kujaribu kuyaweka sawa na kuondosha hisia chafu katika fikra za watu, nimekuwa nikipitia katika wakati mgumu sana kwa jinsi ambavyo nimekuwa nikinyooshewa vidole kila upande nikihusishwa na kifo hicho, kiujumla nimezingatia maoni ya wapenzi ya mashabiki wangu wakinitaka kuwa na subira,  ila kuna ukweli usemao kwamba, uongo ukirudiwa sana jamii huusadiki na kuuona ukweli, nimeona nisikae kimya ila niweke sawa hili kwamba sihusiki na kifo cha Steven Kanumba.
Nasema wazi kwanza sihusiki kabisa na kifo cha Kanumba kwanza kwa kuzingatia mazingira yenyewe ya kifo kilivyotokea. Wakati kifo hicho kinatokea, nilikuwa sehemu nyingine kabisa na mimi nilikuwa mtu wa tatu kutaarifiwa kwamba Kanumba amepatwa na mkasa ambao baadae ulisababisha kifo chake. Na na hata nilipofika katika hospitali ya Muhimbili (tofauti na watu wanavyodhani kuwa nilifika nyumbani kwake; ukweli mimi nilimkuta tayari amepelekwa Muhimbili), nilikuta tayari alikuwa ameshafariki ndio maana hata Polisi wanaohusika na usalama wa raia, si tu kwamba hawakuniweka chini ya ulinzi, sikuitwa hata kuhojiwa kwa sababu hakuna mazingira yoyote yanayonihusisha mimi na kifo hicho.
Pili, watu wanahusisha tofauti za kibinadamu zilizokuwepo baina yetu na kifo hicho, nasema hii sio sahihi kwa sababu kwanza ni kawaida kwa binadamu kutofautiana, isipokuwa kwetu sisi baadhi ya vyombo vya habari vilikuwa vinakuza kwa sababu nisizozijua, hivyo jamii ikachukulia kuwa tofauti zile ni uadui kitu ambacho sio sahihi, kwani sisi hatukuwa watu pekee tunaotofautiana kwani huu ni mwenendo wa kawaida wa dunia; hivi jana tumeshuhudia Waziri mmoja akieleza bayana katika mkutano na waandishi wa habari kuwa na tofauti na naibu wake, lakini hatuajasikia ikiandikwa wana ‘bifu’ bali imetafutwa lugha nzuri ya kupamba tofauti hizo, kwa kuwa waliohusika ni waheshimiwa, ila kwa wengine kutokana na sababu tusizozijua, inaonekana kama ni haki yetu kuandikwa vibaya. Kinachosikitisha, kwa nini jambo hili linachukuliwa kwa mkazo mkubwa sana, kwani hatujawahi kusikia watu wakiwa wanatofautiana na ndugu jamaa hata na marafiki zao na inaonekana kawaida tu? Kwani vyombo vya habari havikuwahi kuandika kuwa marehemu Steven Kanumba alikuwa na tofauti na baba yake, na yeye mwenyewe alitamka hivyo katika vyombo vya habari, mbona wameliongea bila kuongeza chumvi, na jamii inaona kuwa ni jambo la kawaida la kibinadamu.
Pengine watu wanaojaribu kuongea hayo, hawajui mimi na Steven Kanumba tumetoka wapi? Sisi si watu tuliokutana barabarani, tuna historia katika kazi yetu ya sanaa na pia katika maisha maisha yetu. Mwanzoni kabisa, mimi ndiye niliyempokea Kanumba pale Kaole na ndiye niliyemfundisha sanaa pale (nadhani watu wanakumbuka tamthiliya za wakati huo ITV) na baada ya hapo tulienda pamoja katika kampuni ya Game 1st Quality pamoja na tukafanya filamu kama Johari, Sikitiko Langu, Dangerous Disire na nyinginezo, na tuliendelea kuwa pamoja katika kampuni hiyo mpaka tulipofanya filamu ya Oprah mwaka 2008 ambapo niliingia rasmi kufanya kazi za kampuni yangu, lakini tuliendelea kuwa pamoja hata wakati nikiendelea na kazi za kampuni yangu. Pia mimi nilikuwa wa kwanza kuanza kufanya kazi na Steps na baadae Kanumba alipoanza kufanya kazi zake mwenyewe na kunikuta huko tuliendelea kuwa pamoja kama siku zote. Kitu kikubwa kilichokuwa kinaendelea baina yetu, ni kwamba tulijenga ushindani wa kuendeleza kazi mbele kwa kila mmoja akitoa kazi, mwingine anamjibu,  Isitoshe hata vitu vyetu binafsi utaona kama kuna kufanana; kuna wakati Kanumba alinunua Toyota Ruv 4 nyeusi mimi nikanunua ya kijani, aliponunua Harrier na mimi nikanunua pia, na hata gari za hivi karibuni, ukitazama utaona kuwa zinafana kwa karibu; hii ilikuwa ni kama maisha yetu, hatukuwa na uadui, ilikuwa tunapeana changamoto za maendeleo.
 Watu wanaojaribu kuonesha kuwa tofauti zetu ilikuwa ni uadui, huwa hawajui wapi tulikotoka ndio maana wanasema wasemavyo na katika kuthibitisha kuwa tofauti hizo hazikufikia katika uadui, kuna watu ambao wanafanya kazi nami katika kampuni yangu ya RJ ndio hao hao Kanumba alikuwa anawatumia siku zote katika kazi zake, hata baada ya tofauti hizo hakuna aliyekoma kufanya kazi na yeyote kati yetu. Hii inathibitisha kuwa tofauti ilikuwa kati yetu kama binadamu, sio chuki za kimafanikio, ingekuwa hivyo watu kama Junior Syaary ambaye mara nyingi hufanya final editing katika RJ ndio huyo huyo alikuwa akifanya na Kanumba, Ally Yakuti ambaye anaandika script za RJ, ndiye huyo huyo aliyekuwa anaandika kwa Kanumba, Steven Shoo ambaye ni mtaalamu wangu wa light, ndiye huyo huyo anayetumiwa na Kanumba na wengine wengi kama Juma Chikoka aliyecheza kikamilifu katika filamu ya kijiji cha Tambua Haki, ambaye pia anashiriki filamu nyingi za RJ, na wote hao, hawakuanzia kwa Kanumba, wote wameanza kwangu mimi ndio niliompatia na hata baada ya hayo yanayosemwa kuwa kuwa ni uadui, sikuwahi kuwakataza kufanya kazi na Kanumba.
Tatu kumtuhumu mtu kwa namna yoyote ile bila ya uthibitisho wa tuhuma hizo, ni kosa kwa sheria za nchi na pia kama ni mfuasi wa dini yoyote ni dhambi, kwani wakati ukisema hayo huku hujui uhalisia bali unasukumwa na nguvu za hisia tu ni sawa na kumchafua mtu huyo katika jamii bila ya kujua jamii inamchukuliaje. Napenda kusema wazi wazi kuwa, kwa kila anayetekwa na wimbi hili, ajaribu kufikiria leo ipo kwangu mimi, kesho inaweza kuhamia kwako, kwani mimi sio wa kwanza kufikwa na haya, inaweza kukukuta hata wewe au ndugu yako, utajisikiaje. Na kama kweli mimi nimehusika na kifo cha Kanumba kwa namna yoyote ile, basi Mungu atanihukumu na kila aliye hai atashuhudia, ila kama sijahusika kwa lolote, Mungu hatonihukumu na badala yake ataniinua, kwa kuwa ninapita katika kipindi kigumu mno sasa hivi kwa madhila haya.
Mwisho kabisa napenda kumaliza kwa msemo usemao, ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke, kwani kadri mambo haya yanavyoendelea, usidhani yataishia kwangu, kwani mkono wa dhuluma haushii karibu, ukisikia jirani anapiga kelele za mwizi, usilale kamsaidie, usiseme kuwa hatuhusiki kwani hayupo kwetu, kesho utafikwa na wewe utakosa wa kukusaidia. cha msingi kama tunampenda sana ndugu yetu ni kumuombea kwa Mungu, kwani hatujui makao yake huko aliko, na sio kuunda vitu ambavyo kamwe hata yeye angekuwa hai asingeviafiki.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU STEVEN KANUMBA MAHALI PEMA
 PEPONI
MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA

119 comments:

Anonymous said...

ray!!! i read it and its hurt especial to you since he waz your so called SWAIBA angekwepo i belive angekua upande wako GOD is with you fear not bro, maumivu yameumbiwa binadamu,hata marehemu angejua kama anakufa angesuluisha swala lenu la utofauti which is normal to all people be strong kanumba pia atakusaidia huko aliko kusema kwa niaba yako ila tu kama kweli husalimie watu badilika, we love you and we are with you lol

Anonymous said...

umenena vema uwe na amani ujumbe umefika

Anonymous said...

KAKA UKO JUU ACHANA NA WENYE FIKRA FINYU....KANUMBA ATAKUMBUKWA DAIMA..NAWE UTABAKI KUWA TEGEMEO LETU...MUNGU AKUTIE NGUVU.....

Anonymous said...

amen

Anonymous said...

amen

Anonymous said...

pole sana umejielezea hadi huruma mungu ndo anayejua kifo cha msanii wetu jembe la tanzani pole sana yatapita

Anonymous said...

pole sana umejielezea hadi huruma mungu ndo anayejua kifo cha msanii wetu jembe la tanzani pole sana yatapita

Anonymous said...

heee ray umehuzunisha sana nadhani sasa jamii itakuelewa kupitia hili wasanii na watu wengine muache kuwekeana mabifu yasiyo na maana kwa kuwa dunia hii sisi ni wapitaji

Anonymous said...

Ni vizuri ulivyotoa upande wako wa hili jambo. Yatakwisha tu; ila zidi kumuomba mungu na kumshukuru pia. Hao watu wanaounda story ni watu wenye upeo mdogo saana. Watu wanaojua wewe ni mtu wa aina gani basi wanajua ukweli hao wengine mungu awasamehe kwani hawajui walitendalo. Muombe mungu saana ktk kipindi hiki kigumu. Inasikitisha kuona watu wanasahau kuwa wewe pia umepoteza rafiki, ndugu na msanii mwenzako. Mungu akutangulie ktk kila jambo.

Anonymous said...

Ni mapito ya dunia tumewekewa wanadamu na si wanyama cha muhimu ni kuwa na mamake bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu na pia acha kuongea kwa media acha sheria ifanye kazi yake ni hilo tuu kakangu

Anonymous said...

Pole sana ndugu kigosi, kiukweli mimi nilikuwa napenda ushindani uliokuwepo kati yenu, kwa kweli wewe na marehemu kanumba mlikuwa chachu ya maendeleo katika tasnia ya filamu Tanzania. Kuhusu kusingiziwa kuhusika kwa kifo cha kanumba ningekuomba umuachie mungu kwa kuwa naamini kuwa malipo yote yanaanzia hapahapa duniani. Tulia na ufanye kazi zako na nna imani kuwa utafanikiwa zaidi na zaidi. Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu! Nakumbuka msemo wa wanaLiverpool usemao, ' U NEVER WALK ALONE' MUNGU AKUPE NGUVU. Mwenyezimungu aiweke roho ya marehemu Stephen Kanumba, mahala pema peponi. AMINA.

Anonymous said...

Written by Mange
Sunday, 22 April 2012 03:36

HUYO RAY HATA BAADA YA KUFANYA MA INTERVIEW KIBAO NA KUPELEKA STORY KWENYE MAGAZETI

MASKINI YA MUNGU HATA PICHA YAKE HAWAKUWEKA GAZETINI, AMENUNAJE HUKO ALIKO....,...

Sitoongea sana but kama nimewahi kuweka post yoyote humu nikaishusha just know, its an opinion I will stand by 10yrs to come. Nikizishusha ujue basi either muhusika kanipigia simu analalamika sana au a close friend of mine kanipigia kumuombea huyo mtu kuwa nitoe hiyo post. Either way nikitoa post just know ni mambo ya kujuana kujuana tu na sio kwamba I didn’t know what I was saying in the first place….. aiseee, there are so many TZ bloggers out there so usidhani nimewapata nyie wote kushinda humu because im stupid. Im nowhere near being stupid.


So today a close friend of mine who I love very much, kindly asked to maybe tone it down somehow for the main reason that there are many people who don’t like me out there especially this week, sababu ya some article inayosambaa huko kuhusu Ray. Well, I just thought to myself kama hao wajinga watanichukia mimi na sio huyo so called friend wa Kanumba aliekuwa na muda wa kumpiga picha rafiki yake wakati anakata roho na baada ya kukata roho mpaka anaingizwa mochwari na kwenda kuzitundika kwenye blog yake the next day,tena na caption kabisa hapa alikuwa anakataa roho, hii ndo maiti yake, if they cant hate such a person wakanichukia mimi basi nimewadharau sana. Maana mtu hakuwa hata na common sense ya kusema ashushe hizo picha mpaka watu walipomjia juu ndo akazitoa. Aiseee, ni binadamu wangapi unawajua wewe walikuwepo wakati rafiki yao best anafariki instead of crying wakaanza kumpiga picha na kuzitundika mtandaoni? Kwenye hizo interview anazofanya left, right and centre toka jana mbona haongelei hilo? Sijawahi kusema Kamuua mtu yoyote, labda kama anajishtukia mwenyewe.

Anonymous said...

Kiongozi pole sana kwa mikiki. Ila yote ni maisha tu.

Soma kwenye Uturn uone huyu mwanamke chizi alivyikukanyaga kuwa huwezi kumfunga. http://www.u-turn.co.tz/

Kiuungwana tungekusahuri uachane nae kwani unazidi kumpa umaarufu tu usio na maana.

Anonymous said...

Usijali bro kigosi,hizo ni changamoto tu ktk life.
ÐEDICATION:Mapito_by Bahati Búkuku.

#keep doing your job,we love u...

Anonymous said...

Bora umeamua kuandika,napata maumivu sana yaani najiweka na fasi yako sipati picha.ni maumuvi kweli.naona kama mambo yenyewe yamekubana sana hata itachukua muda wewe kufanya kazi vizuri naimetoke kama kwa bahati mbaya ulicheza na yule LULU your new movie,sasa kuja kuiachia naona kama itakuchukulia mda.pole sana sana papa.nakuombea sana Mungu akusaidi ile mapito yaishe.just be strong na keep praying.
from D.R.C (congo)

Anonymous said...

hapo hakuna chochote ulichoandika heri ungekaa kimya tu! Bifu lako na Mange Kimambi malizaneni huko mahakamani maana nawaona woote mnatapatapa kwenye tuBlog twenu kama mnaogopana vile kaaaaaa mwacheni Kanumba apumzike kwa amani. Mola ndio anajua ukweli uliojificha na atatupa adhabu yake pale panapostahili.

Anonymous said...

Wewe acha maneno mingi ,usipohukumiwa na wanadamu utahukumiwa na Mungu ...hovyo kabisa

Anonymous said...

Pole sana kaka angu yani nimejiskia kulia ni kweli uliyoandika yameniumiza dunia hii hakuna rafiki wa kweli hata ungetenda jema kiasi gani kaka yangu utaambulia lawama.Rafiki wa kweli ni YESU pekee.kanumba ni mtu wa kawaida tu kama watu wengine Mungu alisema kufa na mtakufa hivyo neno la bwana limetimia. mbona wengi wanakufa?hata sisi kila mtu anasubiri zamu yake.hivyo kaka mshikilie Yesu pekee ndiye atakutetea na kukupatia amani itokayo juu.wala usijali Mungu awe nawe na usiwaze mwachie Mungu SOMA ZABURI 23:1 na kuendelea.endelea na kazi zako ila mtegemee Mungu naye hatakuacha kwa kila jambo.

Anonymous said...

Pole sana Ray hiyo ni mitihani ya maisha lakini najua kwa njia ya kubishana na wanadamu hutashinda ila kwa njia ya maombi utashinda kwani hakuna kinachoshindikana kwa Mungu.

Anonymous said...

Ray my dear! narudia tena kukwambia, TUNAKUAMINI SANA, najua hujahusika na kifo cha Kanumba. Binadamu tumeumbwa kuongea,na wala huwezi zuia wao kuongea. Kilicho muhimu endelea na kazi zako, usimsahau mama kanumba. Tunapenda kazi zako, na bado tutaendelea kukupa support kubwa kwa kununua kazi zako. Achana na watu wanaotaka kukuza majina kwa kutumia mgongo wako, achana na watu wanaopenda kila mara wasikike kwa kutumia wewe. achana na yule mwanamke mwenye ile blog, we mwenyewe umeshuhudia watu wanavyo mponda ile mbaya. Usisikilize ujinga wa watu wanokushauri eti mkomoe. Ray sisi wakristo tuna amini katika MUNGU, kilio chako mwachie MUNGU, ndie atakae thibitishia watu wewe ni mtu wa aina gani, sio mahakama. Kila la heri kaka yangu, si ushauri wote unaopewa ni wa kufata, mwombe MUNGU akupe hekima ya kuchagua ushauri mzuri.

Anonymous said...

kweli kabisa,,pole kwa yote,,binadamu wabaya sana

manka said...

huna lolote unajisafisha, umelikoroga utalinywa mwenyewe.

Anonymous said...

POLE SANA KAKA RAY ZIDI KUJIWEKA KTK MAOMBI WALA USIBISHANE NA YEYOTE KWA MTAZAMO WANGU HIZO TOFAUTI ZENU NI ZA KIKAZI TU NAOMBA KUTOA MFANO HADIJA KOPA WATU WALISEMA WANAUHASAMA NA MAREHEMU NASMA KUMBE TOFAUTI ZAO NI KWENYE KAZI TU,ALI CHOKI NA BANZA STONE ENZI HIZO NA WENGINE WENGI HILO LISIKUPE TATIZO MUHIMU JIPANGE UANZE KAZI ILA KAMA KUNA MAPUNGUFU YAKO BINAFSI JAREKEBISHE.NAKUTAKIA MAISHA NA KAZI NJEMA

Anonymous said...

POLE SANA KAKA RAY ZIDI KUJIWEKA KTK MAOMBI WALA USIBISHANE NA YEYOTE KWA MTAZAMO WANGU HIZO TOFAUTI ZENU NI ZA KIKAZI TU NAOMBA KUTOA MFANO HADIJA KOPA WATU WALISEMA WANAUHASAMA NA MAREHEMU NASMA KUMBE TOFAUTI ZAO NI KWENYE KAZI TU,ALI CHOKI NA BANZA STONE ENZI HIZO NA WENGINE WENGI HILO LISIKUPE TATIZO MUHIMU JIPANGE UANZE KAZI ILA KAMA KUNA MAPUNGUFU YAKO BINAFSI JAREKEBISHE.NAKUTAKIA MAISHA NA KAZI NJEMA

Anonymous said...

Iyo bongo movie inampango wa kumsaidia lulu? Au ndio kumtupa? Maana wewe ni kiongozi.pia ata yeye haijathibitishwa ameua ni kushuliwa kama wewe unavyo shukiwa.so bongo movie inamsaidiaje ? .pia mnamtembelea au mna msanifu tu. Au hata mamaye mwamtembelea.umesema vyema leo kwako kesho.......watch out vicent.

Anonymous said...

RAY EM TUNAOMBA BAADA YA HYO POST YAKO YA KUTOHUSIKA NA KIFO CHA KANUMBA BAC TUNAOMBA NDO IWE YA MWISHO TUFUNGE MJADALA HUU, WW UMESHASEMA HUHUCK BAC NA CC WENGNE TANG MWANZO TUNAJUA HUHUCK ACHANA NA HAO WANAOKUPA PRESSURE NA IL WASIENDELEE KUKUPA PRESSURE ANGALIA NA COMMENTS ZA KUWEKA HUMU KM BADO WANAENDELEA KUKUTUHUMU USIWEKE COMMENTS ZAO HUMU WANAZIDI KUKUHARIBIA ACHANA NA MAMBO YA KANUMBA SS SONGA MBELE NA MAISHA YAKO 2LIMPENDA SN ILA MUNGU KAMPENDA ZAIDI HATUNA LA KUFANYA, NA WW MANGE NA KIHEREHERE CHAKO HUKO2 UNAACHA KUFANYA MAMBO YA MAANA KAZ UMBEA TU UMEMWACHA MUME WAKO HOKO WW UPO HUKU TZ UNALETA UMBEA WAKO MSWAHIL MSWAHIL TU PAMOJA NA HCHO KIELIMU CHAKO UNACHORINGIA BADO HUJAELIMIKA WALA NN UNGEKUWA UMEELIMIKA UCNGEKURUPUKA KUSEMA RAY KAMUUA KANUMBA BLA YA USHAHID KUNA WATU WANA ELIMU ZAO NA WANA HEKIMA SIO WW MROPOKAJ, UNAMUONEA WIV RAY KWAMBA HAJASOMA NA ANA MAFANIKIO WW PAMOJA NA MIVYET YAKO HAD USUBR HELA TOKA KWA HUYO MZUNGU WAKO NDO KINACHOOKUUMA KUONA WATU AMBAO HAWAJASOMA SN WANA MAFANIKIO ZAIDI YAKO, UMUACHE RAY WETU, KWANZA ULISEMA KANUMBA HUMFAHAM WALA KWNYE MSIBA WAKE HUWEZ KWENDA SS KIHEREHERE CHANN SAIZ?

Anonymous said...

Nimehuzunika sana niliposoma hii habari yako. Pole na yote ila usijali huu ni upepo tu utapita. Nimekuwa nikiwaona kwneye filamu zenu na nimetokea kuzipenda, hivyo nakushauri endelea na kipaji Mungu alichokupa, binadamu ndivyo tulivyo. Unajua kila mtu anasemwa tena hata kabla hajazaliwa, hujui mama yako alipokuwa na ujauzito wako watu walisema nini, wengine pengine walisema huyu mama anatumbo kubwa wengine walisema hivi na vile, hivyo kusemwa kumetokea mbali mdogo wangu Ray. Mimi nasikitika kwa yote yaliyowakuta, wewe na hata binti Lulu ambaye nilianza kumuona akiwa mdogo kabisa kipindi cha watoto ITV leo ameenda kuishi maisha magumu ambayo hayaelezeki. Yote ni kumuachia Mungu ndiye atakayenyoosha mkono wake kuonyesha ubaya ulipo. Mimi naumia sana kama mzazi kwani nina watoto na ninapoona watoto wa wenzangu yanawatokea hayo huwa naumia sana najaribu kuvaa viatu vya wazazi wenzangu na kuona wako katika hali ngumu sana. Mtegemee Mungu na yote yatapita.

Anonymous said...

ni kweli ambayo umeongea Ray, Kanumba ameshatukoka duniani, na hayupo tena nasi, mengi yatasemwa, na mengi yataongelewa, na anaejua kifo cha kanumba hakuna yeyote isipokuwa ni yeye mwenyewe Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, mwenyekuneemesha neema ndogondogo na neema kubwa kubwa, anayefaa kuabudiwa na kusujudiwa mmiliki wa vyote hapa ulimwengu, ila ni kitu kimoja Ray hata kama si bifu basi ni tofauti ambayo mliokuwa nayo ya muda mrefu inayopelekwa ww kuonekana ni umehusika, ungeweka wazi watanzania kwa ujumla angalau wa elewe ni kitu gani hasa milichotofautiana kisichoisha na mkaishi kama zamani labda watanzania wangerudisha upya imani kwako mm binafsi nakupa pole kwa kuwa najua kuwa kila kifo Mwenyezi ndio mpangaji na Mjua yote kuwa na subira lkn ukweli na uwazi ndio ngao kubwa duniani.

Anonymous said...

mimi sina cha kusema.. pole sana kuwa karibu na mungu atakusaidia..
emmer matutu

Anonymous said...

Duuh..inasikitisha sana..Ray hunifaham, ila mm nakufahamu kupitia filamu zako..imeniuma sana..Ila jipe moyo na mtumainie Mungu wako nae atakuinua..Mungu wetu ni mwema sana na huwainua wanyonge..ishi kwa mapenzi ya Mungu na usiyabebe haya... watu wengine kazi yao ni kama magari ya taka budege..yamezidiwa sasa yanataka kuhamisha taka kwa wengine..waachie taka zao..songa mbele.Mm binafsi ntakuweka ktk maombi na Mungu akubariki sana
Mama D..mori

Anonymous said...

hata kikombe kabatini vinagongana Ray na hii inakufundisha kuwa unapokosea au kukosea omba mapema msamaha au usamehe, mwenyezi mungu anawasahe watu wa aina yeyote, lkn kwenu ww na Kanumba haikuwa hivyo thats why watu wanajaji hayo na mwisho kanumba alionekana akilalamika kuhusu maadui zake kwa nini hawasameheani waishi kwa amani na kama kwenye nyimbo yake ya mwisho na mtu ambaye mliokuwa mkulumbana na ww na yeye ambao mlionekana ni maadui wakubwa, hata kama kuna mwingine lkn ilijulikana ww, kwa nn mngesameheana na kuishi kama zamani isingekuwa hivyo, pole Ray kuwa Muwazi ndio itakayokuweka na amani watu wanasema kila siku always true will set u free, kibaya mpaka leo haijulikani nn mlikuwa mmetofautiana na Kanumba mpaka mkawa na bifu lisiloisha, ss tunafundishwa ktk dini msamehe mtu kabla hujalala maana hujui kama usiku huo utaisha ukiwa hai

Anonymous said...

Pole sana kaka kwa yote yaliyokukuta.Mungu atakusaidia kuvuka kwenye daraja hili

Anonymous said...

SUMMARIZE! NANI ATASOMA GAZETI LOTE HILI? KWANI MTANZANIA DAIMA IMEHAMIA HUKU??? POLE LAKINI JAPO SIJAMALIZA KUSOMA!

Anonymous said...

Kaka Ray, nimekusoma kwa makini sana, mara nyingine tunazungumza vitu hatujui mwanzo wake...kama mlikuwa na chuki, yawezekana tofauti zenu mwazijua nyie zilivyokuwa, sie habari tulikuwa tunapata kwenye magazeti ya UDAKU na katika blog ya kanumba, niliangalia akikanusha maelezo fulani katika gazeti moja la udaku kuhusu nyie kuwindana na kuonyeshana ubabe..Kaka pole kwa maneno na wakati mgumu unao pitia..cha msingi endelea kuwa MUWAZI na MKWELI na utashinda, simamia HAKI na uongo utajitenga tuu..WEWE NA MOYO WAKO NDO MNAJUA UKWELI na MUNGU ANAFAHAMU ZAIDI...cha muhimu pia Mtafute Mungu na umche, zitafute njia zake maana Kifo CHA Kanumba Kina SIRI kubwa mno, tena kubwa...Mtafute Mungu

Anonymous said...

Kaka Ray, nimekusoma kwa makini sana, mara nyingine tunazungumza vitu hatujui mwanzo wake...kama mlikuwa na chuki, yawezekana tofauti zenu mwazijua nyie zilivyokuwa, sie habari tulikuwa tunapata kwenye magazeti ya UDAKU na katika blog ya kanumba, niliangalia akikanusha maelezo fulani katika gazeti moja la udaku kuhusu nyie kuwindana na kuonyeshana ubabe..Kaka pole kwa maneno na wakati mgumu unao pitia..cha msingi endelea kuwa MUWAZI na MKWELI na utashinda, simamia HAKI na uongo utajitenga tuu..WEWE NA MOYO WAKO NDO MNAJUA UKWELI na MUNGU ANAFAHAMU ZAIDI...cha muhimu pia Mtafute Mungu na umche, zitafute njia zake maana Kifo CHA Kanumba Kina SIRI kubwa mno, tena kubwa...Mtafute Mungu

Anonymous said...

Hi Ray,pole sana kwa yote yanaokukuta kutokana na jambo hilo.uvumilivu ni jambo la msingi katika maisha ya mwanadamu.ukweli wa mtu ni ndani ya nafsi yake na Mungu anayemjua kabla ya kuumbwa kwake huyo mtu.
USHAURI:
inatosha kwasasa ziba masikio na pamba.wengi tulimpenda Kanumba hii haimaanishi wewe tunakuchukia lahasha bali ni katika misingi ya kazi tu.Hivyo kwasasa elekeza sana nguvu/mawazo yako katika kazi ni namna gani uje kivingine ili uweze kuwashawishi hata wale mashabiki wa Kanumba waje kwako waone kumbe kuna Ray ameziba pengo lake.
Kama wewe n MKRISTO simama katika NENO Hata Yesu alisemwa sana Ray sembuse wewe?????soma Yer 32:27"Tazama mimi ni Bwana Mungu wa wote wenye mwili je,kuna jambo lolote nisiloliweza"?pia soma Yer 33:3"niite nami nitaita nitakuonyesha mambo makubwa magumu usiyoyajua"nk
Wanadamu tumeumbiwa maneno hivyo Ray linda sana moyo wako kwa maana ndimo zitokako chemi chemi za uzima na limtokalo mtu ndilo lililomo moyoni mwake.wanadamu kusema jadi yetu NO VAT.Kila la kheri badilika kimtazamo hasa kikazi.Tupo nyuma yako tunasubiri unatuletea nini tofauti.

Anonymous said...

Sielewi kwanini wakushutumu Ila mungu atakulipia wabongo siku hizi kwa kuzua kila kit Freemason hat a hawaijui ni nini wanadandia ni ukosefu WA fikra

Anonymous said...

Sielewi kwanini wakushutumu Ila mungu atakulipia wabongo siku hizi kwa kuzua kila kit Freemason hat a hawaijui ni nini wanadandia ni ukosefu WA fikra

Anonymous said...

Sielewi kwanini wakushutumu Ila mungu atakulipia wabongo siku hizi kwa kuzua kila kit Freemason hat a hawaijui ni nini wanadandia ni ukosefu WA fikra

Anonymous said...

Sielewi kwanini wakushutumu Ila mungu atakulipia wabongo siku hizi kwa kuzua kila kit Freemason hat a hawaijui ni nini wanadandia ni ukosefu WA fikra

Anonymous said...

Dogo umejieleza sana, jaribu kuwa msomi kidogo, wewe mwenyewe ulisema ulikuwa mtu wa kwanza kufika nyumbani kwake, sasa hivi unasema ulikuwa mtu wa tatu kufika muhimbili..angalia usijichanganye tutashindwa kukuelewa halafu..

Anonymous said...

huwezi kuwa mwema kwa kila m2 ktk hii dunia na si wote watakupokea km wewe unavyofikiria hata huyo marehemu sio wote wanamuona mzuri wako pia wanaomchukia hivyo kila binadamu ana mapungufu yake mbele ya mwanadamu mwenzake mi naona uwe na moyo wa ustamilivu tu kwani mengi yatasemwa na wanasemwa juu yako wewe kuhusu kifo cha kanumba pole sana

Anonymous said...

USITAKIE KUJIOSHA MBELE YA JAMII RAY KUSEMA KWELI UNA ROHO MBAYA SANA TENA SANA UKO RADHI KUITOA ROHO YA MTU ILI YAKWAKO YAKUENDEE YANAOSEMA UNAHUSIKA NA KIFO CHA KANUMBA WAKO SAWA TU ILA NA WEWE JIANDAE

Anonymous said...

wewe ni muaji tu

Anonymous said...

situnajua kale katoto Lulu ulikuwa unakachapa sasa ulivyona kamekuacha kwenye mataa kakaenda kwa swaiba wako ukaona ufanye kweli du umefanikiwa kaka

Anonymous said...

HUKUMU ITAKAYOMPATA LULU NJE YA JAMII NI KUBWA KULIKO HUKUMU ATAKAYOIPATA MAHAKAMANI TUNAJUA ATAKUWA HURU SI MUDA MREFU LAKINI URAIANI JE? NA WEWE UKIJICHANGANYA UTAKUWA HIVYO HIVYO KILA UTAKAPOPITA UTANYOOSHEWA KIDOLE RAY YULE KAMUUWA KANUMBA MI NAONA UWE NA MOYO WA SUBIRI NA USTAHAMILIVU YATAPITA TU KWANI KANUMBA NI NANI YEYE ASIFE SI KIUMBE WA MUNGU KILA BINADAMU LAZIMA AOCHE MAUTI KWA WAKATI WAKE HIVYO WAKATI WAKE KANUMBA ULIFIKA TUSIMTAFUTE MCHAWI

Anonymous said...

I love this.
Siku ya mwanzo nakutana na Kanumba macho kwa macho ilikuwa siku nimekutana na wewe na yeye pale Ngome Kongwe Zanzibar, na hiyo ndiyo siku yangu mwisho pia.

Pole sana Vicent mdogo wangu, binadamu anasemwa kutoka hata hajazaliwa, hivyo hata hili, mshukuru Mungu, na uwaombee sana Mungu awasamehe.

Ukweli siku zote hujitenga na uongo, japokuwa mara nyingi huwa mwisho sana, mtu umeshapata joto ya jiwe. Maneno mazima nimeyakubali, na ukweli wa kifo cha Kanumba atabaki nao Mwenyezi Mungu mwenyewe!! Hata Lulu ni shuhuda tu, lakini Mungu ndiye anaijua sababu kuu.

dada yako wa zanzibar from Muhimbili Primary schoool.

joff Mulenga said...

poa tumekusoma kaka , ila chukulia kawaida tu huwezi kuzuia watu kuongea mana binadamu ndo walivyo

Anonymous said...

Mti wenye matunda dio unaotupiwa mawe!!
Kama huusiki na kifo NYAMAZA! ukiendelea kujitetea utaendelea kusikia mengi....Kizito!!

Anonymous said...

POLE SANA RAY HAYO NDIO MAISHA, USIJALI KWENYE UKWELI OUNGO HUJITENGA. KAZA BUTI KAKA MUNGU ATAZIDI KUKUINUA. KAZANA NA MAOMBI KAKA

Anonymous said...

pole ray ni challenge tu...na majaribu Mungu atakupa milango ya kutokea

Anonymous said...

Muamini mungu yeye ndiye muweza wa yote by the way huyo punguani so calling her self educated woman asikuumize kichwa she need to get life anapenda kutwa kuwa magazetini hey yeye ni nani hata aseme hayo ingali alidai hawezi hata kwenda kwenye mziba ni chuki na upupu uliomjaa kichwani unamsumbua.Nakuomba sana wakati huu muangalie mungu aliyeziumba mbingu na nchi yeye akawe faraja kwako na hakimu wa haki.Mungu akutunze.

Anonymous said...

RAY HUNAHAJA YAKUELEZEA MANAKE UONGO UNAVUMA KULIKO UKWELI WATU WASHAAMINI ALICHOANDIKA YULE CHIZI MANGE KIMAVISO WEWE KAA KIMYA FANYA KAZI ZAKO USIUMIZE KICHWA COZ HAWA VIUMBE HAWATA NYAMAZA HATA WAUJUE UKWELI STILL WATAKUANDAMA SO MUOMBE MUNGU WAKO YEYE NDIYE ANAYEJUA KANUMBA KAFA NA NINI,,MM BINAFSI SIWEZI KUWAZA KITU KAMA HICHO NA NAAMINI SOON UKWELI UTAJULIKANA ,,WITH LUV N KISSSSS

Anonymous said...

ray naamini kabisa hujauwa ila mdomo umekuponza ulisema mwenyewe ulikuwa wa kwanza kufika,na zile picha za kwenye gari alipiga nani, plus mlikuwa mnaenjoe publicity ya kwenye magazeti ya udaku ya ugomvi wenu huku mkijua si wagomvi, wengine jifunzeni jamii inaamini inachokisoma pole sana sana hii hali itapita pia

Anonymous said...

ray naamini kabisa hujauwa ila mdomo umekuponza ulisema mwenyewe ulikuwa wa kwanza kufika,na zile picha za kwenye gari alipiga nani, plus mlikuwa mnaenjoe publicity ya kwenye magazeti ya udaku ya ugomvi wenu huku mkijua si wagomvi, wengine jifunzeni jamii inaamini inachokisoma pole sana sana hii hali itapita pia

Anonymous said...

seems the chicks who are comment negative in here are uturner one.sometime i wonder if mange do pay you guys after all .She kind like carrying brain for you.

Anonymous said...

Be strong Ray just pray.People can talk always, even if you was the one who died they were going to blame someone.
Do you remember when Leila died they blame Khadija Koppa,when TX Moshi william died they blame Mr Gurumo.
Thats how people realy are, even if you will write 1000 pages to explain your feelings,they will never grow tired on talking.Only God knows the truth.
Forgive them all, so that you will be forgiven and have your peace back.
Love you dude.
Rhema.

heri said...

pole sana kaka huo ndio ukubwa hata ungeanza kufa ww hayo yangesemwa kuwa kanumba alikuwa akupendi na ndie aliesababisha kifo chako piga moyo hayo ndio maisha hakuna ambae ataishi milele wote 2napita 2.

H ilda, Ca said...

INASIKITISHA SANA HASA UNAPOHUKUMIWA BILA KOSA. HII NI DUNIA RAY KUMBUKA UNAISHI NA WATU SIYO MALAIKA. YESU ALIPOSHTAKIWA WALIJITOKEZA WATU OVYO WAKAMSHUHUDIA UONGO, ITAKUWA SISI WATU AMBAO WENGINE HATA WAKIAMKA AU KWENDA KULALA HAWAJUI KUSEMA ASANTE MUNGU KWA KUZIDI KUTUPA UHAI? OMBA MUNGU AKUPE AMANI NDANI YA MOYO WAKO, SIKU ZOTE WADAMU TUNAOGOPA MAITI SANA ILA MTU UKIWA HAI HAKUNA ANYEKUTHAMINI. KANUMBA ALIWAHI KUMWAGA MACHOZI KWA KUSEMWA VIBAYA NA KUPEWA UBAYA WA KILA NAMNA. LAKINI HESHIMA ALIYOPEWA AKIWA MAITI NI KUBWA HAKUWAHI KUIPATA AKIWA HAI. TAFAKARI NA MUNGU AKUPE HEKIMA YA KUTAMBUA BINADAMU WAKOJE. KUMBUKA SIKU HAZIGANDI.

Anonymous said...

Ray...Ulichoongea kimetosha wewe sio wakwanza kukosana na mtu kwanza ni jambo la kawaida ata kama ni ndugu wa damu ayo yanaweza kutokea.kILICHOBAKI SASA MUACHIE MUNGU NA ANAEJIONA YEYE BORA KULIKO MWENZIE AYO MUACHIE MUNGU USIJARIBU ATA SIKU MOJA KIJIBISHANA NA KICHAA NA WEWE UTACHUKULIWA KAMA KICHAA.bIG UP BRO!

Anonymous said...

fanya kazi zako Ray achana na wajinga. Mungu atubariki sote..Mungu ilaze pema peponi Roho ya swahiba wako.AMEN!!

Anonymous said...

Ha ha haaaaaaaaaa! Ray umeua bila kujiandaa, na Hilo hulikwepi kaka kote mbinguni na duniani! Toka hapa muuaji mkubwa, badala ya the greatest sasa wewe ni the killer!!!!!!!

Anonymous said...

Unajieleza like somebody who is guilty, hukuwepo ulikuwa sehemu ingene wakati kanumba anafariki hiyo haisaidii, you may have used somebody to do the job for you, na watu wanaofanya hivyo huwa wanakuwa na ushaidi wa kutosha. there was this guy who hired somebody to kill his wife, he made sure he had the kids and went to church with them. But at the end of the day he was cought,

Esther kanda ya ziwa. said...

Pole sana kaka Ray,Mungu ndiyo hakimu wa kweli, acha watu wazushe na ningekuwa mimi ni Mungu ningemuonyesha Mange kupitia hili, maana katika wanawake wanaoongoza kwa bifu na wanawake wenzao dar yeye ni no 1 je hao watu wote wakipatwa na mauti na yeye tumwite muuaji???? unajua ni rafifi sana kuropoka, ila msamehe siyo kosa lake historia ya alivyokuwa mpaka alipo ndo inamdhuru.

Unknown said...

KWANZA KABISA POLE KAKA!
Pili ni kwamba POLISI WASHAFANYA MAKOSA MAKUBWA WAO WENYEWE" YANI KUSIKIA USIKU ULE ULE WA KIFO CHA KANUMBA WAKITANGAZA NA KUMHOJI MTU ALIYEKUWEPO NYUMBANI KWA KANUMBA NA YULE MTU KUSEMA WATU WENGI WASAII WENGI WANAMIMINIKA NYUMBANI KWAKE HAPA NA MUDA SI MREFU KWELI NIKAONA MAPICHA YA WATU TIYARI NYUMBANI KWAKE ...?? NAJIULIZA HII SWALI ..KWANINI POLISI WAKAWARUHUSU KUFIKA NYUMBANI KWAKE HATA PALE GETINI PASINGERUHUSIWA MTU YOYOTE BALI POLISI ILI KUENDELEA NA UCHUNGUZI WAO..NA VILE VILE YULE KAKA YAKE NA YOYOTE ALIYEKUWEPO MLE NDANI WANGESHIKILIWA NA KUSAIDIA POLISI KWA UCHUNGUZI HUO . MBONA LULU PEKE YAKE ??? NA HUYO KAKA YAKE MDOGO WAKE NA KANUMBA MBONA HAWAJAMSHIKILIA KAMA LULU KWA PALE KWAMBA YEYE PIA ALIKUWA MTU WA MWISHO KUKUWEPO NA KANUMBA???
WEWE KAKA RAY" Lazima pia watu watasema sana maana MPAKA SASA HIVI BADO KILICHOMUUWA HAKIJAJULIKANA RASMI, NAMI NAOMBA HIVI ..TUMTOE HUYU MDOGO WETU LULU HUKO NA VILE VILE POLISI WANATAKIWA KULISAFISHA JINA LAKE,,HAJAUWA MPAKA USHAIDI WA KUUWA KWAKE UWEKWE WAZI !!
MIMI MWENYEWE NA TAFUTA JINSI YAKUWAFIKIA WAHUSIKA ..KWANI WENYEWE TANZANIAN POLISI SHERIA WAMESHAZISAHAU "NAONA" HUKU ULAYA TUNAONA SHERIA ZINAVYOCHUKULIWA NA POLISI HASA PENYE KIFO KAMA CHA NDUGU YETU KANUMBA"
NA WATAKAO KUSEMA UMEUWA NAWAO WACHUKULIWE SHERIA PIA MAANA JE WANAUHAKIKA HUO ??? ( KIFO SIYO JAMBO LA KUCHEZEA JAMANI ) NI HAYO TU KAKA RAY" WEWE KAA MKAO WAKUSEMWA KWANI NI LAZIMA WATASEMA KWA YALE MLOKUWA MNAYAONYESHA KWAHAO HAO WASEMAJI "

Hilda ca said...

DON'T LET TROUBLE HARASS YOU. IF PEOPLE SPEAK EVIL AGAINST YOU, TRUST GOD WITH ALL YOUR HEART YOU WILL BE ABLE TO HAVE PEACE.
NO ONE IS RIGHTEOUS, EVERYONE HAS SINNED.WE NEED TO RECOGNIZE THAT WE ARE A SINNER IN NEED OF GOD'S FORGIVENESS. GET RID OF ALL BITTERNESS, ANGER AND HARSH WORDS.FORGIVING ONE ANOTHER. ASK GOD AND HE WILL REFRESH AND GLADDEN YOUR SPIRIT.

Anonymous said...

UNGEKUFA WEWE WANGESEMA KANUMBA KAHUSIKA KWA HIYO NI VICE VERSA.ISHI KIUME FANYA KAZI ACHANA NA MALUMBANO TENE UNGEFUNGA HUU UKURASA KABISA,SEMBUSE WAHESHIMIWA WANATUHUMIANA NDO IJE KUWA NYIE NA MAISHA YANAENDELEA CHAPA KAZI KIJANA NI HAYO TU

Anonymous said...

Kwa nini kuji shuku?

Anonymous said...

UKWELI BADO UNAO MWENYEWE RAY KAMA ULIKUWA NA BIFU NA KANUMBA AU LA. KAMA UMEUA AU LA. NI VILE HATUNA UWEZO WA KUONA MOYO WA MTU UNAWAZA NINI TUNACHOFANYA NI KUHISI TU LABDA KUTOKANA NA MATENDO FULANI YA MTU AU TABIA ANAZOZIONYESHA MTU. KIKUBWA HUNA SABABU YA KUJIELEZA SAAAANA ILI WATU WAKUELEWE KWA SABABU BADO UKWELI UNAO WEWE MWENYEWE. ENDELEA NA MAMBO YAKO USIPOTEZE MUDA NA MANENO YA WATU. UKIJUA YA KUWA MWENYE KUHUKUMU NI MUNGU

MASWI said...

pole sana RAY, tupo pamoja, wanaosema unahusika wanatafuta umaarufu kupitia mgongo wako na wa Marehemu KANUMBA.

Anonymous said...

Pole sana RAY, MUNGU yupo pamoja na wewe, wanaosema unahusika na kifo cha STEVE,wanatafuta umaarufu kupitia kwako na kwa marehemu KANUMBA. Achana nao, tupo pamoja na wewe.

Anonymous said...

pole ray dunia ina mengi na binadamu wanapenda ushabiki wa kuongeza matatizo, ndo maana sisi tukipata matatizo tunachanganyikiwa maana maneno ya watu yanaongeza zaid.Be strong Mungu anajua kama wewe mwenyewe ulivyosema

Anonymous said...

pole ndugu yangu, ukisikia kuwa uyaone siyo magorofa ni kama hayo. kaka mimi nilifiwa na mume wangu wa ndoa, ndugu wa mume na majirani wakasema nimemuua mume wangu, ili niwe huru nilikonda, nilitamani nami nife ila kwakuwa mungu ni wa wote nilipata amani na walionizushia wote wapo kimya maisha yangu yanaenda, nalea wanangu. unachotakiwa kufanya katika wakati huu mgumu ni kumlilia mungu aseme na wanaosema nawe, kwani peke yako hautoweza

Anonymous said...

kaza moyo kaka na inshaallah m.mungu akupe nguvu kwani linapotokea jambo kila mtu huongea lake yatasemwa mengi tu na kwa uwezo wa mungu yataisha tu.

Anonymous said...

Pole sana swahiba hayo ni mambo ya wanadamu kuongea ni kazi yao. Cha msingi muombe mungu akusaidie na akupe moyo wa imani usiyasikilize ya hao wanaokuchanganya. Mungu atakusaidia ufanye kazi zako kama kawaida na atazidi kukupa kipaji cha juu.

Anonymous said...

uuuuh, usuperstar inabidi kuwa naoyo kama sivyo unaweza kufa kwa mawazo, POLE BROTHER

Anonymous said...

Ray you have really tried convincing the public on your inocence lakini kaka the more you talk on interview, write all over the more you are confusing yourself. Mara you were the first person to be at specific place mara ulikuwa wa tatu sijui wa mwisho.'Common some of this thing leave alot to be desired.
Tena you gave the public(Kanumba fans) this chance note am not U-TURN FAN but how on earth would you put those clips on blog what did you expect the public to think of you. Kama ulihusika or not wewe mwenywe na roho yako unajua lakini you can be sure this will cannot remain your secret for ever hata kama ni miaka kumi au mia thr true will one day shine,.

Your comments and clips are enough to say who and what you can do. Confessing comes in many way.

BEST ADVISE IS TO STOP ANYTHING THAT CONCERNS THE GREAT HE IS GONE AND MAY HIS SOUL REST IN PEACE. AMEN

Ngara IT Solutions said...

mpaka hapo kaka naamini kuwa watanzania hatuna kumbukumbu, ukizingatia urafiki au tuseme undugu uliokuwa nao na marehemu kanumba nisingetegemea kama kuna mtu angeibuka na kusema kuwa unahusika na kifo cha nduguyo, ila kaka nakupa ushuri kumbuka kuwa hii ndio dunia na haya ndio maisha cha msingi muombe mungu akupitishe katika kipindi hiki kigumu, ila usisite kumfikisha mahakamani yeyote utakayemuona anahusika na uzushi wa aina hii hasa huyo mange.

JOY said...

NONSENSE.....TUACHE NA PUMBA ZAKO

Anonymous said...

Pole sana Brother yote hiyo ni mitihani tu ya kimaisha ila naamini Mungu atakupitisha.Nimeamini ni vema ufikiri kabla ya kutenda na umefanya la maana sana kuwajulisha sisi wapenzi wa movies zako kuhusiana na mkasa mzima ila naamini kama Mungu aishivyo ukweli utajulikana siku moja.

Brighton Dominick said...

Ila wherever truth stand,lies should fall down

Anonymous said...

RAY POLE SANA KWA YANAYOKUKUTA KWANI BINADAMU NDIO SISI NA WANAYOYASEMA HAYO WANATAKIWA KUWA NA USHAHIDI WA KUTOSHA KWANI SHERIA INAWEZA IKACHUKUA MKONDO WAKE NA WAKATAFUTWA KUTOA MAELEZO ZAIDI NA IKAWAKOST.MIMI SIKU HILI YA TUKIO NAKUMBUKA TULIKUWA PALE KARIBU NA VICTORIA TUNAANGALIA BURUDANI YA MASHUJAA MPAKA SAA TISA KASORO ULIKUWA MEZA YA MBELE YETU TULIKUWA NA RAFIKI YANGU ALIKUWA ANAWACHEKESHA SANA KAMA UNAKUMBUKA VIZURI ULIKUWA NA KINA JB NA WASANII WENGINE ENEO HILO GHAFLA MKAONDOKA.KWAHIYO MWACHEE MUNGU YOTE ILA TU MZIDI KUMUOMBEA KANUMBA KIPENZI CHA WATU WENGI PIA NAOMBENE MJITAHIDI KUMSAIDI LULU KTK KIPINDI HIKI KINGUMU KWAKE NAKUOMBEA MWENYEZI MUNGU HAZIDI KUKUPATIA ROHO YA UVUMILIVU ZAIDI KTK KIPINDI HIKI NI KINGUMU SANA BAADHI YAO NAONA HAWAJUI HUNGUMU UAOKUKUTA KIPINDI HIKI.KUWA MVUMILIVU SANA NA MTANGULIZE MUNGU MBELE.

Anonymous said...

ray mimi si shabiki wako sana lakini kwajinsi ulivyojielezea nimepata u baridi moyoni mwamgu mana nilikuwa na jiuliza mbona ray hajasema chochote now umeamua kuongea!! kwa watu wanaofahamu wewe na kanumba mlipotoka hakuna mtu ataweza kuamini kwamba umemua kanumba!! naumia sana kusema haya ray kuwa na moyo mkuu yashinde yote haya wabongo ndivyo walivyo kila kitu unajua wewe na mungu wako!! kwa chuki gani hasa mpaka ufanye yote haya HAIWEZEKANI KABISA MIMI NAKATAA coz mimi nilikuwa shabiki sana wa marehemu kwa hili UNAONEWA RAY!! lakini hata yesu alipigwa alisubiwa wengine walimtemea mate akafa BADO HADI LEO KUNA WATU WANASEMA HAJAFUFUKA!! so let them talk!! huyo mange achana naye hajui anaongea nini kwanza ukiangalia alishasema hajawahi kuangalia muvi za kibongo wala hajui lolote sasa leo akisema kitu mtu hajui muvi za hapa nani HATAMUELEWA!! anapenda kukurupuka ana laana ya mama yake mzazi achana naye!! wewe sali sana epuka na watu mana unaweza ukafa kwa presha!! MUOMBEE MAREHEMU APUMZIKE KWA AMANI!! mungu awe na we siku zote ray!! kwa kumuenzi kanumba MIMI NTAKUWA SHABIKI WAKO !! REST IN PEACE MY KANUMBA

Anonymous said...

WE REY ACHA KUPOTEZA MUDA NA MANGE..CHIZI YULE! kama kosa lilikuwa ni kupost picha then angeambiwa tu,, mana haya mambo kiukweli ebu vaa kiatu caha Rey..kila mtu fotografa siku hizi...angeelezwa tu in a gud way sidhani kama asingeelewa.
acha marumbano na mange bana yule naye asingesoma angekuwa wale wadada washambenga mtaani kila siku ugomvi..

Anonymous said...

Pole ray wangu pole jaman nataman ungenijua,ujue hata ni jinsi gani naumizwa na hayo mauzushi nataman ningepata nafasi ya kuongea na watz niwaeleweshe,lakin mimi ni nani?sina uwezo huo,mkabidhi mungu Ray,yeye anaweza yote,just pray kabla hujaingiza kazi yako yoyote sokoni,sali sana,funga na kuomba,kumbuka mungu akikupa jaribu anakupa na mlango wa kutokea pia.

Anonymous said...

John 15:18 - If the world hates you, keep in mind that it hated me first.

Anonymous said...

Pole Ray, kikubwa jitahidi kusali Sana, Kwani Mungu Pekee ndio anajua,, na pili binadamu tunatakiwa kutambua kuwa hatima ya Maisha yetu iko mikononi mwa Mungu pekee, hakuna mwanadamu anayeshikilia maisha ya mwenzie..kwa sasa yatasemwa mwengi cha kufanya ni kumwachia Mungu aamue.mwisho wa siku maji na mafuta yatajitenga tu..

Anonymous said...

''cha msingi kama tunampenda sana ndugu yetu ni kumuombea kwa Mungu, kwani hatujui makao yake huko aliko, na sio kuunda vitu ambavyo kamwe hata yeye angekuwa hai asingeviafiki.''

hii ndo point kubwaaa sana uliyosema kama umeitoa kwa dhati toka ndani ya moyo wako basi kheri.

leona julius said...

PIGA MZIGO RAY TUPATE KUBURUDIKA,HAYO YATAKWISHA TU

Anonymous said...

wewe Ray dawa yako inachemka labda utembee na jeshi lapolice, tena weka board guard kuanzia sasa maisha yako, yako hatarini

Anonymous said...

KWANZA POLE,KUSEMWA KAWAIDA BWANAA UKISHAKUWA NA JINA LAZIMA USEMWE KALULU KAMESEMWA WEEE LEO KAKO WAPI MASKINI YA MUNGU, PIL: KWA HUU UANDISHI MPE HONGERA ALIYE PUBLISH THIS!KWANI NAJUA KABISA HUKUANDIKA WEWEE!!!!!! MIMI NAINGIA MARA KWA MARA KWENYE BLOG YAKO NA NAONA JINSI UNAVYOANDIKA KISWAHILI KIBOVU KWENYE 'R' UNAWEKA 'L' NA KWENYE L UNAWEKA R NA KWENYE 'H' UNAWEKA 'A' NA KWENYE 'A' VIVYO HIVYO, BASI HUWA NAUMIA SANA KUONA KIJANA MWENYE JINA KUBWA HALAFU HATA LUGHA YAKO KUANDIKA NDIO HIVYO TENA

Anonymous said...

pole ray kwa yaliyokukuta mungu yupo nawe.achana na watu wasiona akili.wewe na kanumba ni marafiki wakubwa.kupishana kauli ni vitu vya kawaida

Anonymous said...

pole kaka yangu.mungu ni mwema kama hawakupendi wapo tunaokupenda

Anonymous said...

Kwanza pole kwa msiba wa rafiki yako Kanumba, umetugusa kiukweli.
Pia pole kwa shutuma zieneazo mtaani juu yako, Jamii inayokujua wewe Ray inajua tabia yako, kuendelea kujitetea unazidi kuiaminisha kuwa ulihusika kwa namna moja au nyingine.
siri ya kifo cha kanumba, mungu ndiye ajuaye. biblia inasema Kaa kimya mbele za bwana ukimngoja kwa saburi......maana yake linapotokea jambo zito kama hilo basi jitahidi kuwa kimya maana katika wingi wa maneno kujikwaa kupo.

Mungu wangu na akutetee maana sababu ya kifo cha kanumba Mungu ndo anayejua na kupanga.....MASEMO NI MENGI KWA WANADAMU, PIGA KIMYA.
KAMA UNAAMINI MUNGU SOMA ZABURI 35 KILA ASUBUHI NA MCHANA HATA JIONI UTAONA MUNGU ATAKAVYOKUTETEA (HII NI ZAIDI YA BOMU UKIIAMINI).
POLE BRO...YOU WILL BE ALWAYS THE GREATEST, PIGA KAZI SASA.

Anonymous said...

wewe mkaka acha kua kama msichana. your all emotions. Like seriously, people yap mpaka last. if your a man enough, gather your balls and face up what life offers to u. Acha kulia na ku explain to the whole world how innocent you are. Man Up bwana. why should you give a damn on what people.

Acha utoto bwana. if life hands you lemon, make lemonade. Kanumba is sleeping peacefully and will never wake up. so wewe, find a way to swagger up. The streets are watching.

So please stop being a such cry baby and a pussy. Man up my brother! Man up!

Anonymous said...

kama hujaua,maelezo yote ya nini? Hujui kukaa kimya ni dawa pia,umebore watu,na hayo mashindano eti ya maendeleo ndo yanavyokuwa?,huna lolote bwana,ur a green snake in a green glass! n God wil punish u accordngly!

is-haq uk said...

kaka nimekupata safi sana kwa speech uliyoiandika manake huyo aliyesema hivyo huko alipo najua ujumbe umemfikia yaani limemshuka mpaka anajisikia vibaya

Anonymous said...

Unatafuta umaarufu kupitia watu umechelewa sana huwezi kumchafua ray

Jackie said...

Ray usijali hayo ni maneno ya wakosaji kama hawakupendi wakajinyonge na sabuni hao ni watu wasiopenda maendeleo yako take care na maadui coz ndio watakaokurudisha nyuma

Anonymous said...

Mbona huajsema toafuti zenu zimesabashwa na nini? Au ni lulu mmchukuliana ndio sababu tunasema inawezekana umehusika kwa asilimia mia moja.

Anonymous said...

Pole Brother nimekusoma so big problem is media ambayo hata nyinyi wamekuwa rafiki zenu, binafsi nilishangaa sana The Greatest ulipokaa kimya baada ya kuona gazeti limeandika 'UADUI WENYE UMEFIKIA PABAYA KIASI KUAGIZIANA BASTORA ZIKITOKA NJE' HIVI NDUGU YANGU KWANINI GAZETI KAMA HILI USIENDE KUMSHITAKI MTU ANAYEONGELEA MASULA YENYE BINAFSI? NAJUA WW NI MTU MWENY MSIMAMO SANA LAKINI KWANINI UNAKUBALI UPUUZI HUU? MBONA ULIMCHANA ZAMARADI AKANYOOKA! LAKINI PIA ANGALIA HILO KUNDI LENU YA SIJUI BONGO MOVI NI HATARI SANA KWA KUUZA MANENO NA KUNA WATU MNAWAAMINI LAKINI NDIO MASHUSHU WA WAANDISHI WA UDAKU ISHU YA KUMUUA KANUMBA IMETENGENEZWA NA WASANII WENZIO WAKIAMINI WATAKUSHUSHA KISANII, LAKINI HAWATAWEZA WAAMBIE WASANII WENZIO WAACHE UMBEA WAAMBIE BILA UOGA. JIPE MOYO.

Anonymous said...

HAMNA CHA POLE WALA NINI MZIMU WA KANUMBA UTAKUTAFUNA TU NA NINAKUAPIA UTAKUFA KIFO KIBAYA KULIKO CHA KANUMBA MFYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUM UMEMUUA KWANI KUA MPAKA UWEPO ENEO LILE? USITAKE KUTUFANYA WAJINNGA HAPA AU WATOTO. YOUR A MURDER PERIOD NA NINAANZA KAMPENI KICHINI CHINI WATU WASINUNUE KAZI ZAKO NYAMBAFU MUUAJI MKUBWA WE TUNAKUCHUKIA SANA HUKU KWETU TENA UCJE MANA TUTAKUTILIA SUMU KWENYE CHAKULA

Anonymous said...

HAMNA CHA POLE WALA NINI MZIMU WA KANUMBA UTAKUTAFUNA TU NA NINAKUAPIA UTAKUFA KIFO KIBAYA KULIKO CHA KANUMBA MFYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUM UMEMUUA KWANI KUA MPAKA UWEPO ENEO LILE? USITAKE KUTUFANYA WAJINNGA HAPA AU WATOTO. YOUR A MURDER PERIOD NA NINAANZA KAMPENI KICHINI CHINI WATU WASINUNUE KAZI ZAKO NYAMBAFU MUUAJI MKUBWA WE TUNAKUCHUKIA SANA HUKU KWETU TENA UCJE MANA TUTAKUTILIA SUMU KWENYE CHAKULA

Anonymous said...

akiwa mzima hukutaka kumuona, amefariki kimbelembele cha kwenda kubeba jeneza naona ulifanya sherehe

Anonymous said...

SIKILIZA RAY NDUNGU YANGU NAOMBA UKAE KIMYA USIBISHANE NA WANADAMU HUTOWAWEZA WATAKUWA WANAVULUGA KICHWA CHAKO NA WAKIONA UMEJIBU NDO KABISA WANAPATA PAKUSEMEA... HIVYO UJUE WENGINE HAWANA KAZI WANAKUCHOKOZA MAKUSUDI ILI WABISHANE NA WEWE AU WAPATE MAJINA KUPITIA JINA LAKO? WEMA WAKO ULOUFANYA MUNGU NDO ATAKULIPIA NA KANUMBA MWENYEWE NDO ANAJUA UMEMTENDEA NINI LAKINI SISI BINADAMU UKWELI HATUUJUI TUNABAKI NA LABDA.... PLEASE RAY USIJE KUPOST TENA KITU KUHUSU MSIBA WA KANUMBA, MSIBA UMEPITA ILOBAKI JIPANGE UENDELEE NA MAISHA YAKO TU. ACHANA NAO HAO WACHE WAENDELEE KUSEMA WAKICHOKA WATANYAMAZA

Anonymous said...

hivi kwan kanumba ndio alikuwa nani mpaka asife walikuwepo manabii wakubwa wote wakafa. hakika kila nafsi itaonja mauti hebu tufikirie tulikuwa na ndugu zetu wakaribu tukawapoteza na tukaamini .bt anyway ni kawaida ya watu wenye ngozi nyeusi kuhusiha kila linalotokea na mkono wa mtu

Anonymous said...

POLE SANA MDOGO WANGO RAY ACHANA NA BINADAMU KWANI HATA UWAFANYEJE HAWAELEWEKI KWANI HATA MUMGU HAPENDI WANAVYOKUZUSHIA UONGO CHA ZAIDI MDOGO WANGU PIGA KAZI ACHANA NAO KWANI KIFO UPANGWA NA MUNGU NA KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA KWANI HATUJUI SIKU WALA SAA YA KUFA KWETU WAACHE WABWABWAJE MWISHO KABISA WATACHOKA POLE SANA SONGA MBELE BADO TUNAKUHITAJI NA TUNAKUAMINI KWANI HUNA MAPINZANI KWENYE TANISIA HII YA BONGO MOVIE !!KEEP IT UP!!!!!

Anonymous said...

Dah be strong ray..nadhani ukae kimya achana na yule taahira mange.

Anonymous said...

REY,achana na kujisafisha kwa wanadamu,ongea na mungu wako ndo shahidi wa matendo yako!

Anonymous said...

upo ktk wakt mgumu n vigumu kuelezea wanadamu wote wakaelewa sio rahc kuwapendeza watu wote nakuombea mungu akusaidie ktk kpnd kgumu mungu mwenyewe ndo anajua zaid usiwape magazet ya udaku cha kuzungumza ww kaa kmya

DYNAMICS REGINALD said...

POLE BRO......ILA NADHANI HUMAN BEHAVIOUR VARIES FROM ONE PERSON TO ANOTHER...............WATU WANA TABIA TOFAUTI, MAONI TOFAUTI, MITIZAMO TOFAUTI PIA.......WE SI NI MSANII....BASI VUMILIA KUNYOOSHEWA VIDOLE NA KUTUKANWA PIA......NAWASILISHA.

Anonymous said...

POLE RAY, ACHANA NA WATU WANAOCHAFUA HEWA. JAMANI, MNAO MCHUKIA RAY SHAME ON YOU KWA KUMSINGIZIA. TO ME THESE GUYS WERE GREAT FRIENDS, HATA GUIGANA KUNUNUA MAGARI, IT JUST SHOWS WALIKUA WANA ACT KAMA BROTHERS. MUNGU AKULINDE NA HAWA MA PAPA WANAOONGEA HOVYO

Anonymous said...

Kaka Ray,binadamu siku zote huwa hawakosi jambo la kuongea.Na ukifuata watu wanasema nini katika kazi yako, wengine watasema uende magharibi, wengine mashariki,wengine kaskazin bila shaka wengine kusini! Hii nikwasababu watu tuna mawazo na fikira tofauti tofauti kila sekunde ipitayo!!Unajua kazi yako ndio inayokupa kula,na mwingine asije dharau kazi yako kwani haimsaidii.Hata ww usiidharau kazi ya mtu kwan haikusaidii ktk mantiki ya kwamba kipato hamgawani na mwingie.Nasema hv sababu wanaokuhusisha katka kifo cha rafiki yako wana nyege katika kazi yako,lengo lao kukuharibia kwa kukupotezea wateja wa kazi yako.
Chukua hatua za busara,usivae ngozi waliyovaa wao ya kupanua panua midomo kwa masuala wasiyo na vigezo. Wao yamkini walikuwa hawakupendi toka zamani na hivyo walikuwa wanagaili wapi waazie! na kwa kuwa walikuwa hawakupendi,basi hawakuwa wateja wa kazi yako kabisa!! sisi ambao ni wateja wa kazi yako na ambae bado tunahitaji bidhaa kutoka ofisini kwako tutaendelea kuhitaji mpaka mwisho wa sayari hii tunayoishi kuzunguka. Wewe sio mungu, huwezi kupendwa na kila mmoja bwana! na ninaamini kabisa kizazi bado kinaendelea kuongezeka na hivyo wateja bado wanaendelea kuzaliwa! anae umia ww ku win life shauri yake na kiroho chake cha kwanini! endelea kupiga kazi,aacha sheria iseme kama ulihusika au haukuhusika.najua inauma kuzushiwa jambo, lakini jipe moyo,ujue pene kuonewa ndipo mungu anapoweka baraka zake na mafanikio rukuki! NDIO!! acha wenye midomo moto waendelee kukaza mishipa yao kwa kupayuka kama mbwa mwitu waliokosa chakula msituni! we piga kazi bana aaa! God giventh and away God takenth,blessed is his name today and forever EMEN, Mungu airaze roho ya ndugu yetu mahari pema peponi AMINA!!
"You can't know who you are if you dont know where you are"

Anonymous said...

Ray kaka,Pole kwa yote unayopitia ila naomba unyamaze hayo ni mapito,usiandike tena kuhusu habari hizo kaka kwani utawapa wanafiki nafasi ya kuongea.Fanya kazi kwani tunasubiri kazi zako....C

Anonymous said...

anyways, hakuna anayejua kilichotokea zaidi ya Mungu. just move on with ur life and hopefully utafanikiwa Achana na porojo zote za mtaani wala za kwenye mablog. mi i'm nt ur fan ila i wnt u 2 know that "karma is a bitch...so take care".

Anonymous said...

Wabongo jamani, Em tukubaliane tu kuwa kila kifo hakikosi sababu. Huo ndo ulikua mpango wa Mungu kwenye maisha ya Kanumba.Tangu kuzaliwa kwake hadi kufa,hatuna haja ya kumtafuta mchawi,muuaji tunapoteza muda. Inauma kupoteza mtu muhimu lakini kilichoandika na Mungu kimeandikwa na binadamu wa kawaida hawezi kukipangua.
Mungu amrehemu marehem. Amina

Anonymous said...

LISEMWALO LIPO.....

Anonymous said...

I simply couldn't go away your website before suggesting that I extremely enjoyed the standard information an individual provide in your guests? Is going to be back steadily to check out new posts
Also visit my web site ... how to make an app

Anonymous said...

Hey! Do you know if they make any plugins to protect against
hackers? I'm kinda paranoid about losing everything I've worked hard on.
Any tips?
Also see my webpage: www.yourtobaccosstore.com