Wadau namtambulisha kwenu SCRIP WRITER ALLI YAKUTI huyu ndie anayeandika mizigo yote ya RJ COMPANY BIG UP KAKA kazi yako inakubalika
Friday, December 25, 2009
MZIGO MPYA WA RJ COMPANY WAVAMIA KIJIJI
Wadau namtambulisha kwenu SCRIP WRITER ALLI YAKUTI huyu ndie anayeandika mizigo yote ya RJ COMPANY BIG UP KAKA kazi yako inakubalika
KANUMBA 'THE GREAT' AJA NA LIBENEKE LAKE
Swahiba anavyoonekana mbele ya blog yake inayokwenda kwa www.kanumbathegreat.blogspot.com
Kanumba amekuja kivingine baada ya kuamua kufungua blog yake inayokwenda kwa jina la www.kanumbathegreat.blogspot.com swahiba wangu wadau wanakukaribisha katika libeneke kwa kuhabarishana habari
Tuesday, December 22, 2009
MAMBO YANAZIDI KUPAMBA MOTO KUELEKEA 2010 NDANI YA RJ COMPANY
Chime Chande akiwa on set na dada Mainda akiwa tayari kumpendezesha kijana mpya katika fani ......
Saturday, December 19, 2009
RJ COMPANY YAPANIA KUFANYA MAAJABU MWAKA 2010 NDANI YA MOVIE IITWAYO.........
Thursday, December 17, 2009
KANUMBA KUSHUSHA MIZIGO MIWILI KWA MPIGO
Game 1ST QUALITY kwa mara nyingine tena jumatatu ya wiki inayokuja ya tarehe 21/12/2009 wanashusha mzigo miwili kwa pamoja inayokwenda kwa jina la SATURDAY MORNING NA THE HEROES OF CHURCH kwa mujbu wa Kanumba ameniambia mizigo hiyo miwili inakuja kufunga mwaka 2010 kwa kupoteza zaidi katika tasnia ya filam, Filam hizo amewajumuisha baadhi ya ya masuperstar na vipaji vinavyochipukia katika medani ya filam kama vile Shamsa Ford na wengine wanaofahamika kama Cloud ,Magali,Aisha Bui na wengine wengi.PATA NAKALA YAKO HALISI SIKU YA JUMATATU
Cover ya THE HEROES OF CHURCH kama inavyoonekana kwa mbele,NAKUKUMBUSHA TENA NDUGU MDAU NENDA DUKANI UKAPATE NAKALA HALISI
Wednesday, December 16, 2009
RJ WAUPANIA MWAKA 2010 KWA KUPOTEZA NA BONGE LA MOVIE
Monday, December 14, 2009
RJ COMPANY WANAMLETA TENA ELIZABETH GUPTA KATIKA BONGE LA MOVIE LIITWALO...........
Friday, December 11, 2009
MZIGO WA KUFUNGA MWAKA KUDONDOKA CHRISTMASS
RJ COMPANY inatambulisha mzigo mpya wa kufunga mwaka 2009 na filamu inayokwenda kwa jina la HOT FRIDAY'Baada ya swala kabla ya sabato' Filam iliyosheeni masuperstar kama JOHARI,RAY ,HEMED, Vilevile RJ imeibua kipaji kipya katika tasnia ya filam msichana anayeenda kwa jina la MONICA, filamu hii ndugu Wadau ndio filam ya mwisho kutengenezwa na kampuni ya RJ mwaka huu na ndio filam ya mwisho katika store ya movie ndani ya kampuni.Ndugu Wadau katika tasnia ya filam sio kwamba kila siku tunatoa filam bali filam zinakuwa zimetayarishwa muda mrefu zinakuwa Store na inapofikia muda kila moja inaanza kutoka,kwa maana nyingine huwa nikiingia Location napiga Movie harafu zinakuwa Studio zikitayarishwa huku nikiandaa nyingine harafu napata muda wa kupumzika huku nikianza kutoa moja baada ya nyingine,Itafikia muda kwa mwaka nitakuwa natoa movie moja au mbili inategemeana na soko litakavyoenda.NAWASHUKURU WADAU KWA MAONI YENU
BAADA YA GRADUATION MYAMBA NDANI YA MJENGO WA RJ
Wednesday, December 9, 2009
KANUMBA ATAKA KUZAA MTOTO WA CHUPA(TEST TUBE BABY)
THE GREAT akiwa kwenye pozi katika vakasheni fulani niliyofanya naye wiki tatu zilizopita
NI ZAMU YA RIHAMA ALLY NA THEA NANI ZAIDI
WADAU KUNA FAIDA KUBWA SANA SISI WASANII KUWA NA BONANZA KILA JUMAMOSI
Sunday, December 6, 2009
THE WINNER OF BIG BROTHER AFRICA REVOLUTION 2009 IS..............KELVIN
Winner of BBA REVOLUTION 2009 Kelvin akiwa katika jezi ya TANZANIA,Wadau nazidi kumwelewesha mdau aliyekataa kuwa Kelvin ajavaa jezi ya Tanzania nadhani sasa atakubaliana nasi
Hapa Kelvin alipoitangaza nchi yetu ya Tanzania kwa kuvaa jezi iliyoandikwa Tanzania kuna mdau mmoja alikuwa akibisha kuwa Kelvin akuvaa jezi ya Nchi yetu hiyo hapo kaka nadhani utaamini ambacho nilikiandika mwanzo......
Hapa akiwa haamini kilichotokea kwani alilala chini baada ya kutangazwa kuwa yeye ndiye mshindi wa BBA REVOLUTION na kujinyakulia kitita cha dollar 200,000 na cha kuvutia zaidi Kelvin baada ya kupanda jukwaani alivaa Jezi ya Tanzania na kufanya ashangiliwe zaidi na Umati uliohudhuria sherehe hiyo,Hongera kaka sisi Watanzania tunakupenda kwa kututangazia Nchi yetu Ulimweguni
KELVIN akiwa pamoja jukwaani na mwendesha shughuri nzima ya BBA muda mfupi baada ya kutoka ndani ya Mjengo wa BBA
EMMA kutoka Angola ndiye mshiriki pekee wa kike aliyeingia tatu bora, alishika nafasi ya PILI
Mshiriki aliyeshika nafasi ya Tatu,EDWARD'EDDY' kutoka Namibia akiwa jukwaani muda mfupi baada ya kutoka
Mshiriki aliyeshika nafasi ya NNE NZAMO kutoka Malawi muda mfupi baada ya kutoka ndani ya nyumba
NKENNA mshiriki kutoka Nigeria alishika nafasi ya Tano, yeye ndiye alikuwa wa kwanza kutoka katika washiriki watano walioingia fainaliKAMA KAWAIDA YETU YA JUMAMOSI TULIKUTANA TENA LEADERS CLUB
Saturday, December 5, 2009
KAMA KAWAIDA YA RJ COMPANY KUTEMBELEWA LEO TUNAYE AUNTIE EZECKIEL MJENGONI
Thursday, December 3, 2009
THE GREAT MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI YA HILTON NUSSERY SCHOOL
Tuesday, December 1, 2009
MZIGO MPYA WA RJ COMPANY WAINGIA MTAANI
RJ COMPANY wameingiza sokoni filamu mpya inayoenda kwa jina la FAIR DECISION 'MAAMUZI SAHIHI' ni Filamu kali sana ndugu Mdau iliyowashirikisha Masuperstar kibao kama JOHARI,MAINDA,IRENE UWOYA NA ODAMA usiikose kuitafuta ila TUNAKUOMBA UNUNUE NAKALA HALISI INAYOPATIKANA MADUKANI KOTE
MSHINDI WETU NI MZEE CHILLO
Mzee Chillo ndio mshindi wetu wa wiki iliyopita kwa kumbwaga Mzee mwenzake Magali.Tunakutakia kila la kheri katika kazi zako za sanaa kaza mwendo Wazee wenzako wanakuja kwa kasi
MSANII EMANUEL MYAMBA AMEPATA DEGREE YA SOCIOLOGY!!!!
Kwa wale mnaomfahamu ndugu huyu MAARUFU PASTOR MYAMBA siku ya Jumapili Tarehe 29/11/2009 ni siku ambayo hataisahau katika maisha yake ya KIELIMU kwa kupata DEGREE YA SOCIOLOGY mimi kama THE GREATEST na BLOG YANGU kwa Ujumla tunampa Hongera
kwa kufikia hatua hii muhimu katika miisha!!!! kwa ufupi Myamba alipata mafunzo ya elimu ya Awali katika Shule ya Msingi MDETE baada ya hapo akajiunga na SEKONDARI MARANGU MOSHI na A LEVEL alisoma JITEGEMEE na kujiunga na CHUO KIKUU MLIMANI mnamo mwaka 2006 mpaka alipohitumu Shahada yake ya kwanza ya Elimu Ya SAYANSI YA JAMII.Kiusanii Myamba kwa mara ya kwanza nilicheza nae katika FILAMU ya JOHARI ambayo alionyesha umahiri mkubwa mpaka kubatizwa jina la PASTOR filamu nyingine ambazo ameshacheza ni FAKE PASTOR,PENINA, DAR TO LAGOS na nyeginezo nyingi. nimeongea ameniambia kwa sasa Atajikita zaidi katika kiwanda hiki cha filamu na anatarajia kuja na SERIES zake ambazo zitapatikana muda si mrefu zitakwenda kwa jina la PASTOR MYAMBA TEMPTATION ambapo mpaka sasa RJ Company iko katika mazungumzo nae.
Sunday, November 29, 2009
MASUPERSTAR WA BONGO WAKUTANA KWENYE BONANZA LA WASANII
Friday, November 27, 2009
WADAU LEO JIONI TULIKUWA MATEMBEZENI MAENEO YA VISIWA VYA BONGOYO
Labels:
vincent kigosi
Thursday, November 26, 2009
TOT BAND YATAMBULISHA NYIMBO ZAO MPYA NDANI YA HOTEL YA WHITE SAND
Tuesday, November 24, 2009
ELIZABETH GUPTA NDANI YA MJENGO WA RJ COMPANY MIDA HII
Sunday, November 22, 2009
BONANZA LA WASANII LAZIDI KUFANA
Saturday, November 21, 2009
WADAU WA TASNIA YA FILAM TANZANIA MUDA SI MREFU NILIKUWA NAPIGA PICHA KWA AJILI YA COVER ZA MOVIE MBILI AMBAZO NI .......
Kama unavyoona ni pozi la majonzi The Greatest mwenyewe nikiwa najaribu kutafuta pozi ambalo litaendana na story ya movie husika .......
Sidhani kama unamkumbuka mrembo huyu ni kitambo sana alikuwa anaitwa Rayuu jina lake kamili ni Alice Bagenzi aliyekuwa muigizaji wa kundi la Kaole sanaa lakini kwa sasa anarudi ulingoni katika Tasnia ya movie za kibongo chini ya RJ Company Tz Ltd ambayo ndio itakayokudondoshea kitaani mzigo huo muda ukifika....
Pozi mbalimbali katika kutafuta picha itakayofaa kwenye cover muda wa siku mbili tatu hivi nitawadondoshea cover lenyewe mlione wadau....
Pozi ili ni la movie ileeee niliyokuwanikishoot kipindi kile ambacho nilikuwa nawaletea matukio yake inaitwa HOT FRIDAY inatoka baada ya FAIR DECISION kuingia mtaani mwisho wa mwezi huu......
Muendelezo wa picha hizo kijana huyu anaitwa Hemed Suleiman....
Bibie Blandina Chagula (Johari) naye yupo kwenye movie hiyo kama mnakumbuka, Mzigo utakuwa wa maana si mchezo mastaa wote wa movie za kibongo wapo ndani ya HOT FRIDAY.....
Mtoto wa kike huyoooo anaitwa Monica Malaki yeye naye yupo ndani ya HOT FRIDAY ni msanii mpya wa RJ Tanzania Ltd...
Wednesday, November 18, 2009
WANAMUZIKI NA WAIGIZAJI WA TANZANIA WAFANYA KIKAO CHA PAMOJA
Tuesday, November 17, 2009
MAPACHA WANNE WAJA NA MAMBO MAPYA YA KUKATA NA SHOKA
Sunday, November 15, 2009
BONANZA LA WASANII NCHINI TANZANIA LAZIDI KUNOGA MNAKARIBISHWA WADAU WOTE
Labels:
vincent kigosi
Labels:
vincent kigosi
Friday, November 13, 2009
KANUMBA NA IRENE UWOYA WAIVAMIA RWANDA
MR CHUZI AVAMIA MJENGO WA RJ COMPANY LTD
Wednesday, November 11, 2009
KARIBU DADA ELIZABETH UMEFIKA NYUMBANI KWENU TANZANIA POLE NA KIBARUA KIZITO CHA KUIWAKILISHA NCHI YETU
FAMILIA YA MZEE UWOYA YAMFANYIA PARTY YA KUMPONGEZA MTOTO WAO IRENE UWOYA KWA KUPATA MUME HONGERA DADA
The Greatest nikiwa na mdogo wangu Hemed Suleiman ....
Mama Ndikumana akiwa amejichanganya na wadau wa Tasnia ya Filam Tanzania,Huyu kijana aliyvalia shati la mistali meusi anaitwa Inno Bachard
Sunday, November 8, 2009
WATANZANIA WOTE TUMEUMIA JAMANI LAKINI SIO MBAYA UMEJITAHIDI DADA YETU ELIZABETH HONGERAAA
Huyu ndie dada yetu Elizabeth,Wiki hii ametolewa ndani ya jumba la BBA 4 sio mbaya WATANZANIA wenzangu, mpaka hapo alipofikia Elizabeth anastshili pongezi hongera dada umefika mbali asiye kubali kushindwa basi si mshindani
MAISHA CLUB YATEKETEA KWA MOTO
Huu ndio ukumbi maarufu jijini Dar-es-salaam, Maisha club leo mida ya mchana umeteketea kwa moto chanzo bado akijajulikana ...
Mkurugenzi wa Aset Club Dada Asha Baraka alikuwepo sehemu ya tukio.Saturday, November 7, 2009
ILIKUWA KAMA KAWAIDA WASANII KU SHOW LOVE NDANI YA VIWANJA VYA LEADERS CLUB.
NANI MKALI KATI YA MZEE CHILLO AU MZEE MAGALI
Anaitwa Hemed Olotu( Mzee Chillo),Msanii anayekubalika katika tasnia ya filam akiwa anaekti kama mzee au Baba au Mwalim utapenda kumuangalia kwani hachoshi hata kidogo, wiki hii anachuana na Mzee wa masauti(Mzee Magali)Friday, November 6, 2009
THE WINNER IS.......................RICHIE
Huyu ndiye mshindi wetu Richie aliyembwaga Dk Cheni kwa kura 52 dhidi ya kura 38 alizopata Dk Cheni, jumla ya kura zilizopigwa ni 95 na kura 5 zimeharibika.Hongera sana kaka Richie ongeza juhudi usibweteke kwa ushindi huu. Vile vile washindi wote watapewa zawadi na wadhamini wa blog hii mtatangaziwa siku maalumu ya kupewa zawadiRICHARD BBA WINNER 2007 NDANI YA MJENGO WA RJ COMPANY
WAKATI WASANII WATANZANIA WAKIWEKA VIKAO VYA MALA KWA MALA KWA AJILI YA KUTETEA HAKI ZAO LAKINI MAMBO YANAZIDI KUWA MAGUMU
Cd feki zinazosambaa mitaani zenye filam kumi kwa moja zimekamatwa Arusha,Mwanza na Dar es Salaam. Vile vile zimetapakaa mpaka Congo na Nchi jirani.Je? Wasanii tutafanikiwa kwa hali hii?Watanzani wenzangu kazi tunazofanya ni ngumu sana lakini wanaofaidika ni watu ambao hawatumii nguvu kubwa.Ombi letu kwa Watanzania wote mlio nje ya nchi na ndani ya nchi msinunue kazi zenye mfano wa macover haya.
Cd feki ya Oprah kama inavyoonekana kwa mbele ya cover. Jamani huu ni unyonyaji mkubwa inauma, Kwenye cd moja zinakaa movie kumi tutafika kweli kwa mtindo huu...
Cd feki ya chanzo ni Mama iliyokusanya na filam nyingine kama inavyoonekana nyuma ya kasha....
Kama inavyoonekana kwa mbele. Je tutafanikiwa kama wenzetu?????
Tuesday, November 3, 2009
GAME 1ST QUALITY YAFANYA PARTY YA KUMALIZA SINEMA ZAO MBILI PAMOJA NA KUTOA SHUKRANI MBELE ZA MUNGU
Warembo nao walikuwa wa kumwaga
Sunday, November 1, 2009
MAMBO YA SIMBA NA YANGA YALIKUWA NA BURUDANI YA AINA YAKE
Subscribe to:
Posts (Atom)