Monday, January 13, 2014

HARD PRICE COMING SOON

 Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila nisingependa kuja kwenu na mikono mitupu.. Naomba ujipatie mzigo wako wa nguvu wa Hard Price ambao sasa upo madukani..Ndani ya Filamu hii nimejalibu kuchanganya   radha tofauti nawaombeni sana wadau wangu tusaau yaliyopita jamani 

 The greatest nikiwa na Jack Wolper on set..

 Salim Ahmed(Gabo) akiwa anapitia script ili kuakikisha mambo yanakwenda sawa....

 Kazi zikiendelea...

 Nikiakikisha mambo yanakwenda sawa...

 On set...

 Tukilekebishana machache na dada yangu Jack ambaye amecheza kama mke wangu(Pricila)....

 Mzee wangu Kassim Mkoka na Jack Wolper wakiwa mzigoni...

 Richard Mshanga(Masinde) bila kukosa yupo ndani ya mzigo huu.....


 Razak ford na J uma chikoka...

Mambo yakiendelea...


No comments: