Monday, March 12, 2012

PRINCIPLES NA SOBBING SOUND

 Wadau najua mmenituma kijana wenu mjini kuja kufanya kazi na si maneno mengi nami natekeleza maagizo yenu picha hizi nimepiga kwa ajili ya macover yangu mawili kwa ajili ya cinema zangu mbili kali zinazokuja nadhani itaanza Sobbing Sound imeshilikisha mastaa kibao wakali nitwaletea matukio ya mzigo huo ni hatari tupu

 Picha ya pamoja mimi na Uwoya huu sasa ni mzigo wa Sobbing Sound tumeunguluma pamoja humo ndani pata picha mwenyewe itakuwaje si ni hatari

 Lulu huu sasa ni mzigo wa Principles of Woman

 Pozi kama kawaida ya Lulu

 The Greatest na Uwoya

 Kissssssss

 Mtoto kakua jamani akiwa na Baba yake

 Hatari sana ndani ya Principles of Woman


 The Greatest

 Kijana kazini

 Handsome Boy


29 comments:

Anonymous said...

haya ndo mavazi baby nataka uwe unavaa shati nzuri sn , suruali imetulia mno viatu ndo kbsaaaaaaa n yani vya ukweee umenikosha sn hny. mmmmmwaaaah

Anonymous said...

ama kweli uwoya ana mimba kweli kama global walivyosema

Rida said...

lulu ni binti mzuri ila mavazi hapana... kwani akivaa ngua ndefu inakuwaje? mbona kila picha yupo uchi... pls wabadilike.

Anonymous said...

kaka we ni wa ukweli but hivyo vyombo lazima umevitumia tena hako kadogo katamu mbaya best wishes

Anonymous said...

Mh jaman hata kama ni kuact ila too much Irene uangalie sehemu za kucheaza filam dada yangu Ndiku naye ana moyo.Muonee huruma mwenzako

Anonymous said...

Lulu ww ni mrembo mdogo wangu jiheshim sna wanaume wakishakuchezea watakua hawana habar na ww tena.Utakua c mwanamke wa kuoa bali mwanamke wa starehe.Angalau uolewe uweke historia kwamba ulishaolewa kuliko kuishia kapa noma

Anonymous said...

LET MI TELL YOU MEN,HIVI MNADHANI SISI WANAWAKE HATUNA CHOICES OVER YOU.NO HAPANA HATU SISI TUNAPENDA KUWA NA MWANAUME WA NAMNA FULANI.MFANO MIMI NAWACHUKIA SANA WANAUME WANENE KAMA WEWE SO BE CAREFULLY MSIDHANI NYINYI TU NDO MNA CHOICES KWA WANAUME HATA SISI BWANA.HII NI KWA WANAUME WOTE SIO WEWE TU SO KIP IT.

Anonymous said...

punguza minyama hiyo bro inakutisha kuwa km rafiki yako huoni mvuto aliokuwa nao sasa

Anonymous said...

mtoto amekuwa si umekuza mwenyewe au ...........

Anonymous said...

kaka unatisha ila kuna mambo fulani fulani siyapendi kwani wewe sasa hivi ni mkubwa kaka kwanini unapenda mapifu kua kikazi, kua kiakili, kua mstaamilivu pia utaona mafanikio yako sio kitu kidogo unakimbilia vyombo vya habari mambo ya ngoswe muachie ngoswe mwenyewe, kaa chini na swaiba wako mumalize tofauti zetu kwani mmetoka mbali wasije wakaja wa2 wachache wakawaweka km walivyowaweka sasa

Anonymous said...

WATU WENGI WANASEMA WEWE UNAPAKA MKOROGO RAY 'WHY:

CULETE said...

ladies and gentlemen let’s talk about ray and not sijui ugomvi na swahiba, huyo swahiba acha awe na maisha yake kwani wote si wanatengeneza movies na wanaact, kwani huyo swahiba asipoongea na ray anakufa, ray uamuzi ni wako ukitaka kuongea nae ongea usipotaka mpotezeee,,,,-- Second coment, huyo hapo juu amesema haya maneno.""MFANO MIMI NAWACHUKIA SANA WANAUME WANENE KAMA WEWE""" lady sikiliza wanaume wembamba wapo wengi chagua unayemtaka sasa unamwambia ray apungue ili iweje????? ili umtake au, be careful lady. muache ray awe kama anavyotaka akitaka kuwa mwembamba mke wake mtarajiwa atamshauri na sio wewe ok???!!! je kama fiance wake ndio anapenda awe hivyo??????? watchout, kama hujui ray anae fiance fungua picha ya gari yake soma coments utajua ana mwanamke mrembo wenye kazi ya maana msomi anayempenda sana ray sana sana sana sana sana, EEH JAMANI KILA SIKU MACOMENT MABAYA KWA RAY HATA YEYE ANACHOKA, KAKA WA WATU NI MZURI ANA MVUTO NA ANAJUA KUCHEZA MOVIES KISAWASAWA SO MUCACHENI ATUBURUDISHE MSIMCHOSHE MAWAZO NA MANENO YENU YA HOVHO HOVHO. have a gd day

Anonymous said...

ndugu yangu una ugomvi na gym au we na masahani ya ubwabwa na nyama ni ma best mana hiyo mishavu du hadi macho hayaonekani try to loose weight aisee hata kazi zako zitakuwa nzuri na uache kujichubua na kutinda hizo nyusi kah!!

secret said...

BROTHER VISENT "(THE GREATEST)" KWANZA HILO JINA LA THE GREATEST LINAKUFAA SANA MOVIES ZAKO NI KALI SI MCHEZO. NIMEKUA NAONA COMEENTS KUHUSU UGOMVI WAKO NA SWAHIBA (KANUMBA) MIMI USHAURI WANGU NI HUU NAOMBA UUZINGATIE SANA. kwanza kabisa katika movies industry usitake kuwa na u-rafiki wa karibuuuuu na mtu mmoja ILA kuwa na u-rafiki "WA KAWAIDA WA KIBINAADAMU" na wanamove wote na wapende wote so huyo kanumba mfanye rafiki wa kawaida kabisaaaaaaa, lakini urafiki wako na kanumba "NADHANI SIO WA UKWELI" wote hampendani HATUJUI MWENYE TATIZO NI NANI so achana nae kabisaaaaaa yani mpotezeeee bila yeye unaweza kuendesha maisha yako freshhh yananyooka, SIMAANISHI muwe maadui hapana ila mchukulie kama mwanamovie mwenzako, CHA MUHIM ZAIDI ni ZINGATIA + HOLD + MAINTAIN KAZI YAKO NA KUPLAN YOUR FUTURE LIFE, HIVYO NDIVYO TUNAVYOFANYA HUKU MAKAZINI, unajua kaka RAFIKI SIKU ZOTE HAKUTAKII MEMA MAISHANI ATAKUCHEKEA USONI ILA NI VIGUMU KUJUA ANAKUWAZIA NINI MUNGU PEKEE NDIE ANAYEJUA na always RAFIKI ANATAKA AWE JUU KUKUPITA na ikitokea ukawa juu basi ni ugomvi (HIYO NI KWA WATU WENGI SANA DUNIANI), kaka yangu KAMA UNA MKE AU MTOTO + YOUR MOM HAO NDIO MARAFIKI ZAKO WA UKWELI HAWAWEZI KUKUANGAMIZA. movies ndio kazi yako kama walivyo wafanyakazi wa ofisini so nguvu zako zote na akili yako yote peleka kwenye kutunga movies usipoteze muda kwa kujadili ugomvi kaka yangu, (ila pata muda wa kutosha wa kuwa na wanamovie wenzako kubadilishana mawazo ya hapa na pale, wao ni wa muhimu sana kwako). ASANTE

Anonymous said...

ama kweli uwoya ana mimba..ilo tumbo ........duh!....

Anonymous said...

watu wengi wanasema eti ray anapaka mkoro je niwangapi wanakusema???acha kutomboka ovyo comment vitu vyamaana,,ulishawahi kumuona akipaka au ulimnunulia/?au unataka tu kujishebedua kojoa ukalale

Anonymous said...

ndio mana huoi kazi kuwazoga zoga wake za watu tu, oa wa kwako uone kama ni tamu mke wako kuzogwa kama hivyo, kwani bila ya kuonesha huo upuuzi wenu picha haiwi nzuri. Kusema kweli sijapenda tabia hiyo, chochote unachofanya sema kama ni mimi nafanyiwa hivyo nitafurahi. Kuwa na utu kwa mwanamme mwenzio usimuumize moyo

mimi said...

uwoya ana mimba au macho yangu? hahahahah chezea Ababuuu eeeh!!! mdada mpaka kasaliti kiapo cha kufa na kuzikana.

lulu said...

lol we mtoto ndio nn kuwatega watu wazima hivyo?

Anonymous said...

huyo mtoto lulu hapana hajieshimu hata kidogo nguo za disco hizo sio kwenye movie, atulie asome, usuperstar una mwisho hakajatulia kana maskendo sana haoni kero? mtoto kama hana wazazi lol...darasani ana akili kweli? si anawapotosha wenzie?

Anonymous said...

HIYO PICHA NA LULU MACHO UMEYALEGEZA SANA AU TAYARI UMEANZA KUMTIA HUYO MTOTO KUWENI NA HURUMA NA WATOTO WA WENZENU UNAMTIA UCHUNGU MAMA YAKE KAMA ANGEKUWA MDOGO WAKO UNGEJISIKIE?

Anonymous said...

vinywele vyako SIVIPENDIIIII km umelambwa na paka!!
zikate ziwe chini kabisa zitapendeza si kuviacha hivyo km umeweka kali kiti

Anonymous said...

jamani huyu irene ana mimba kweli lo kweli huyu kahaba amebemba mimba nje ndoa mtoto akiwa mdogo hivyo jamani, Ndiku bora uende zako hapo hakuna mwanamke kama anaweza kutembea bila kinga tengemea ukimwi kaka hawa wanawake wanawafaa hao akina Ray tu wawachezee mpka basi

Anonymous said...

mtabakia na hatihati ya irene hamyajui,,wazuzushi wakubwa nyie

Anonymous said...

Star uchwara wa bongo, hujui hata kuvaa. Mkanda wa suruali lazima ufanane na viatu.Acha kuaibisha!

Anonymous said...

Tunaomba ucheze movie na Batuli kama umjui alicheza movie na kanumba (Fake Smile) tunamkunali sana huku New York or tupe contact zake...watanzania wa huku tunajua wachapakazi na wachezea kazi.

Anonymous said...

tatizo ray huchezi movie na wasanii wa nje ya afrika mashariki,, kila siku wale wale... tunawazoea sas .. JIPANUE BWANA PANUA SOKO LAKO.. USITOE NAFASI KWA MTU MMOJA KUWA YEYE NDO BORA KULIKO WEWE.
MATUTU EMMS-SAUT

THE GREATEST FUTURE WIFE said...

asanteni fans wa baby wangu kutembelea blog ya kipenzi changu, nimesoma comments zenu, mnampatia challenge chocolate wangu na naamini mnampenda na sisi tunawapenda SANA SANA,. napenda niwape mwanga kidogo kuhusu movie alocheza na Lulu, first of all Lulu sio mpenzi wake ila ni kama daughter wake na Lulu anamrespect sana chocolate wangu, (trust me) ondoeni mashaka kuhusu hilo ( Lulu is safe)ametumika vile ili kuipa jamii mwanga wa mambo yanayotokea daily in TZ, Endapo kuna ambao mmeudhiwa sana basi kwa niaba ya Ray "chacolate wangu" naomba msikasirike ni mafunzo tu, nawaomba mumjengee imani babe wangu, "he is a good person, NAWASHAURI MUIANGALIE HIYO MOVIE KWA MAKINI ITABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA WENGI NA KUWAFUNDISHA. thanks again kwa kutembelea blog ya mahabuba wangu, kipenzi changu, asali wa moyo wangu, anae nifanya nitabasam kila nikimuwaza, kipoozo changu, moyo wangu, usingizi wangu, furaha yangu, mafanikio yangu, maisha yangu, wa kufa na kuzikana wangu........ RAY MY SWEETDARLING, CHOCOLATE WANGU, "WE BELONG TOGETHER BABE" I LOVE YOU, COMMENTS MBAYA NI CHALLENGE KWETU MPENZI WANGU. NAKUPENDA SANA BABE, NIKO NAKULA I WISH UNGEKUA UNANILISHA DARLING WANGU NIDEKE KIDUCHU MMMH BABE, UNIKISS KISS WAKATI NAMEZA MMMMH BABEEEE NIMEKUMISS MPENZI. te-amo

isaack said...

tuambie nani alicheza movie na watu wa nje ikawa na mafunzo ya maana katika jamii ya kitanzania? waliocheza hatuoni maana kamili zaidi ya ujiko usiokua na manufaa wala maana, brother cheza movie na hawa hawa wanamovie wa bongo unakimbiza sio siri tunafurahia sa 2