Thursday, February 28, 2013

SHILOLE NDANI YA SOUTH AFRICA

Shilole akiwa kwenye jiji la South Africa(Deben) kwa ajili ya kufanya show ya kufa mtu. Ni dada anayejituma sana na mungu atamsaidia kufika anapopataka.
 Akifanya shopping ndogo ndogo  kwenye maduka mbalimbali...

 Ulifika muda wa kutumbuiza kwenye ukumbi mkubwa uliopo South Africa(Deben)..

 Shilole akifanya vitu vyake ndani ya South Afrika

Akiwa kwenye show mbili tofauti mwanamke nyonga babu weeeeeee... Hongera sana Dada yangu.

3 comments:

Anonymous said...

zile scene za ulevi umetisha sana aisee www noumer kweli kwenye zile scene kumbe
emmer matutu

Anonymous said...

zile scene za ulevi umetisha sana aisee www noumer kweli kwenye zile scene kumbe
emmer matutu
WAVES OF SORROW

Anonymous said...

zile scene za ulevi umetisha sana aisee www noumer kweli kwenye zile scene kumbe
emmer matutu
WAVES OF SORROW