Baada ya kumaliza kuzindua filamu ya Chaguo langu tulipata mwaliko wa kwenda kuitazama miss Kilimanjaro nasi tulijimwaga mpaka ndani ya ukumbi wa Laliga mjini Moshi haya wadau nawatupa moja kwa moja muone mambo yalivyokuwa
Comfort mwenyeji wetu tulipokuwa Mererani alitupa kampani ya kutosha tunakushukuru saba brother hapa akiwa na Steve Nyerere(The Power) kabla ya kufika Moshi mjini..
The Greatest tukiwa Lugumbashi bar iliyopo maeneo ya Air Port ya moshi tukipata moja moto moja baridi tukijiandaa kwenda Moshi mjini kwa ajili kwenda kuangalia kinyang'anyilo cha kumtafuta Miss Kilimanjaro 2012
Mambo yalianza namna hii cheki umati huo wadau, ilikuwa ni balaaaaa..
Mgeni rasmi, Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mheshimiwa Gama akiwa na mkewe.
Meza kuu ya majaji wa Miss Kilimanjaro 2012.
Masanja Mkandamizaji alikuwa ndiye Mc mkuu wa show hiyo.
The Greatest.
Wema Sepetu ndiye aliyekuwa jaji mkuu wa miss Kilimanjaro.
Juma Chikoka(Chopa).
Snura.
Hatman Mbilinyi.
Irene Uwoya naye alikuwa ni jaji.
Mamiss wa Kilimanjaro walitoa show kali sana ya kufa mtu.
Richie na Jb ..
Kazi ilianza ya kumtafuta Miss Kilimanjaro 2012.
Shillole naye alikuwepo kuwapa burudani wananchi wa Moshi
Daimond Plutnum akiwa na vijana wake wakijiandaa kufanya show kali kama kawaida yake anapokuwaga kwenye steji hafanyagi makosa kabisa
Ulifika muda wa Bongo Movie kuliteka jukwaa la miss Kilimanjaro.
Richie akifanya show.
Nami sikuwa nyuma kuwapa vitu wananchi wa Moshi