Thursday, June 21, 2012

MISS KILIMANJARO 2012

Baada ya kumaliza kuzindua filamu ya Chaguo langu tulipata mwaliko wa kwenda kuitazama miss Kilimanjaro nasi tulijimwaga mpaka ndani ya ukumbi wa Laliga mjini Moshi haya wadau nawatupa moja kwa moja muone mambo yalivyokuwa
Comfort mwenyeji wetu tulipokuwa Mererani alitupa kampani ya kutosha tunakushukuru saba brother hapa akiwa na Steve Nyerere(The Power) kabla ya kufika Moshi mjini..

 The Greatest tukiwa Lugumbashi bar iliyopo maeneo ya Air Port ya moshi tukipata moja moto moja baridi tukijiandaa kwenda Moshi mjini kwa ajili kwenda kuangalia kinyang'anyilo cha kumtafuta Miss Kilimanjaro 2012

Mambo yalianza namna hii cheki umati huo wadau, ilikuwa ni balaaaaa..

 

 Mgeni rasmi, Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mheshimiwa Gama akiwa na mkewe.

Meza kuu ya majaji wa Miss Kilimanjaro 2012.

 Masanja Mkandamizaji alikuwa ndiye Mc mkuu wa show hiyo.

 The Greatest.

 Wema Sepetu ndiye aliyekuwa jaji mkuu wa miss Kilimanjaro.

 Juma Chikoka(Chopa).

 Snura.

 Hatman Mbilinyi.

Irene Uwoya naye alikuwa ni jaji.

 Mamiss wa Kilimanjaro walitoa show kali sana ya kufa mtu.

Richie na Jb ..

Kazi ilianza ya kumtafuta Miss Kilimanjaro 2012.
 Shillole naye alikuwepo kuwapa burudani wananchi wa Moshi 

Daimond Plutnum akiwa na vijana wake wakijiandaa kufanya show kali kama kawaida yake anapokuwaga kwenye steji hafanyagi makosa kabisa

 Ulifika muda wa Bongo Movie kuliteka jukwaa la miss Kilimanjaro.

 Richie akifanya show.

Nami sikuwa nyuma kuwapa vitu wananchi wa Moshi

 

Balahaaaaaaaaaa


 Plutnum akikamua stejini.


 Shindano likiendelea la kuchagua tano(5) bora ya Miss Kilimanjaro.

Hii ndo top 5 ya Miss Kilimanjaro.

 Miss Kilimanjaro wa 2011.

Kinyang'anyilo cha kumtafuta Miss Kilimanjaro kiliendelea.

 Miss wa 2011 akikabidhi taji kwa Miss Kilimanjaro 2012.

Tuesday, June 19, 2012

UZINDUZI WA FILAMU YA RICHIE

Kama kawaida ya Bongo Movie utengano kwao ni dhaifu na umoja kwao ni nguvu hii ni kauli mbiu ya Club ya Bongo Movie Unit waliongozana na mmoja wa wanachama wa Bongo Movie bwana Richie msanii nguli wa tasnia ya filamu bongo kwenda kuzindua sinema yake inayokwenda kwa jina la Chaguo Langu ndani ya merarani..

Wasani wa bongo movie wakiwa ndo wamewasili katika Air port ya Moshi wakitokea Dar es salaam wakijiandaa kwenda Mererani ambao ni Irene Uwoya wa kwanza kushoto,Shilole wa kati na Hatman Mbilinyi wa kulia.

 JB mwenyekiti wa Bongo movie.

 Steve Nyerere.

Single Mtambarike alikuwa mwenyeji wetu kwenye safari hiyo. 

Vile vile tuliweza kukutana na washiliki wa Miss Kilimanjalo wa mwaka 2012.

Wasanii pamoja na mamiss
walipata mualiko wa kupata kifungua kinywa katika mgahawa flani hivi na hapa mmiliki wa mgahawa huyo akitoa shukrani zake kwa wasanii na mamiss kwa kukubali kuitikia wito wake

Sasa ulifika muda wa kuelekea Mererani kulikuwa kuna watu wengi sana wakitusubili kwa hamu kubwa.

 Jb akisalimiana na wananchi wa Merarani

 Watu wa Mererani walifurahi sana walipotuona na walitupoke vizuri.
 Hapa ni machimbo ya Merarani na hao watu mnaowaona ni wachimbaji wa madini ya Tanzanite maarufu kama (Wanaapolo)

 Tuliweza kutembelea baadhi ya maeneo ya migodi iliyoko maeneo hayo.

 Tukiwa ndani kwenye shimo mojawapo.

 Matembezi yaliendelea.

Tukiwa na wanaapolo machimboni..

 Tukipata chakula pamoja na wenyeji wetu.

Misosi ya kumwaga.

 Ulifika mda wa kwenda kuzindua filamu yetu ya Chaguo Langu tukiwa na Bongo Movie, The Greatest nikiongoza Jahazi hilo katika ukumbi wa songa mbele ulioko Maeneo ya Mererani.

 Ratiba zikiendelea.

 Wana Bongo movie wakisalimia mashabiki waliofika ukumbini hapo

 The Greatest.

 Mda wa show ulifika Richie aliweza kutufungulia show yetu.

 Jb bonge la bwana akipiga mastaili ya kufa mtu

 Ulifika muda wangu wa kufanya mambo niliwainua mashabiki wengi kwenye viti kwani mimi ni mkali sana kwenye mziki wa mayenu

 Nikifanya mambo na Steve Nyerere

 Mamiss wa Kilimanajaro mwaka 2012 nao walipata muda wa kusalimia wananchi wa Merarani pia nitawaletea matukio ya Miss Kilimanjaro kwani tulialikwa katika mpambano huo wa kumtafuta mlimbwende wa miss Kilimanjaro 2012