Wednesday, March 14, 2012

KONFA BUSINESS LODGE OPENING SOON

 Haya wadau wa town kuna kitu kipya kinakuja kuteka na kukamata jiji katika upande mzima wa sehemu ya  kupumzika kuna sehemu mpya inaitwa KONFA BUSINESS LODGE ni sehemu nzuri sana iko mitaa ya Mbezi Beach kwa maelekezo zaidi nitawafahamisha vizuri na inategemewa kufunguliwa wiki mbili zijazo ni sehemu nzuri sana na bei zao ni poa sana  karibuni sana

 Cheki geti ilo lakisasa kabisa wewe mwenyewe sema mimi sisemi

 RECEPTION

 Maandalizi yanaendeleaaa

 Chumba cha kulala

 Bafu, ni hatari sana jamani duhuuuuu



 Urembo wa kutosha ndani ya BUSINESS LODGE

 Simu ya chumbani ukitaka uduma

 Jamani hapa ni bongo wala si ulaya kila kitu sasa hivi kinapatikana bongo 

 Tv ya kuangalia baada mihangaiko ya mchana kutwa

 Mandhari ni nzuri sana jamani 

 The Greatest nikikagua baadhi ya maeneo

 Mambo yakiendelea

 Kiooo

 KONFA BUSINESS LODGE

 Kwa juu panavyoonekana

 Sehemu ya kupumzika ukiwa na mwenza wako

 KONFA BUSINESS LODGE

 Kiti cha massage

 Chumba cha nguvu

 Koridoni

 Geti

 Urembo wa kutosha maeneo ya BUSINESS LODGE

 WELCOME

 Bar

 Kwa nje panavyoonekana

 Mazingira safi sana

 Sehemu ya kupata moja baridi moja moto

Mzani wa kupima uzito baada ya kutoka msalani

10 comments:

Anonymous said...

brother Visent umenichekesha hadi nimepata nguvu ya kumalizia ripoti mana nilikua nishachoka, mizani ya kupima ukitoka chooni????, daaah hiyo kali, tufanyie mpango na sisi tunaofanya kazi bank tuwekewe mizani mlangoni saa ya kutoka kazini si unajua lazima tunakua tumepungua kwa mijikazi brother, blog yako nzuri inaniliwaza sana sana sana, mida kama hii nikiwa bado niko job napumzika kwa kuangalia nini kinajiri kwenye blog yako then naendelea na kazi. hongera sana kwa kazi nzuri unayofanya, your the best, no one like you in TZ

Unknown said...

kaka hi lodge ni ya kwako?au kuna investor?

Anonymous said...

kaka mbona inaonekana jina lake ni comfot business lodge?embu rudi tena kule ukaulize vizuri mdogo wangu

Anonymous said...

Jamani kam ahii Lounge ni yako good for you, me like it, you are one step ahed, Mungu akutangulie kwa kila jambo Amina

Anonymous said...

Ni yakwako weka wazi? Kama yako hongera.

Anonymous said...

Contact zao tupe ili nasi wapiga box tuje tufikie hapo

Anonymous said...

kam sio yako,, duu hi zaidi ya tangazo sijui wamekulipa kiasi gani coz umehusika zaidi,,, real advertising... emma matutu

Anonymous said...

kaka hii ni yako nn? du nzurii saaanaa hongeraa,tupe namba za simu tuje tujiliwazee..kama tuko mtonii,ama kweli bongo NewYork...hongera sana kaks uko juuuuuuuuuu!!! hawakuwezii hawakuwezii

amos said...

DU HII NGOMA IKO POA MNO MPAKA NATAANI TU HATA NIIONE KWA MACHO , HAKUNA KINACHOSHINDIKANA CHINI YA JUA DU.

Anonymous said...

sasa tutajuaje hwo much per day. na iko sehem gani? AU Show off tu