MZEE KIPARA KATUACHA
Mwili wa marehemu Mzee Kipara ukiwa ndani ya gari kuelekea katika chumba cha kuhifadhia maiti Mwananyamala.
MAJONZI na vilio leo vimetawala katika nyumba aliyokuwa anaishi mwanzilishi wa kundi la maigizo la Kaole, Fundi Said ‘Mzee Kipara’ aliyefariki dunia leo asubuhi maeneo ya Kigogo jijini Dar baada ya kusumbuliwa na maradhi ya miguu kwa muda mrefu.
1 comment:
Mungu ailaze roho yake pema peponi!
Post a Comment