Friday, January 6, 2012

BUKOBA NI SOOOOOOO.DUH!
TUNAJIFUNZA NINI KUTOKA KWA WASANII HAWA?


Mji wa Bukoba umekuwa na burudani za aina yake siku za usoni pengine ni kutokana na utandawazi kama inavyoonekana wadada wakitoa burudani mid night katika bar ya Desare pub iliyopo bukoba mjini(kwa hisani ya mc baraka-bukoba wadau)

No comments: