Thursday, January 26, 2012

TRIP OF THE GREATEST IN CHINA

 Baada ya kazi za mchana kutwa kutafuta mavifaa tukaenda kupata lunch kama kawaida katika kipengele cha misosi sifanyagi makosa

 Cheki misosi ya nguvu hiyo

 Kuna yule jamaa niliyeambiwa kuwa huwa achagui chakula aliagiza matunda akaletewa matunda yanayochemka na kutokota kama unapika makande, hapa alichemka .

 Baada ya hapo tukaenda disco kupata burudani za kutosha, ile njemba ndiyo hiyo hapo ilioagiza hayo matunda

 Ukumbi unavyooneka maridadi kwa kwanja za kutosha

 Bahati nzuri tukapata  mwenyeji wa kibongo anayeishi China, Mwanadada huyu anaitwa Husna ni matata sana

 Mambo yakiendelea kupamba moto cheki mwenyewe mambo hayo

 Mrembo akiteta jambo na The Greatest

 Nikiwa na marafiki zangu tukipoza maumivu ya mchana kutwa na burudani mwanana huyu jamaa wa kati anaitwa Choba ana vituko sana, katika kipengele cha uchezaji muziki ni bingwa wa style za ajabu..

 Balaaaaaaaaa jamani

Upande wa vinywaji ulikuwa hivi.

8 comments:

Anonymous said...

Ni kweli unachjichubua acha kupaka mkorogo kaka. ushamba unakusumbua

Anonymous said...

hilo jimama linajiuza hongokong balaaa duh !!! kapeleka ku... yake kwa wachina, na wewe hujichubui kweli ? maaana ray we mwenyewe jiangalie ulivo sasa na zamani au ndo pesa hiyo ? haya sie yetu macho

Anonymous said...

Kitu cha JD kinahamasisha mezani hapo enjoy kaka ila acha the mkorogo

Anonymous said...

Acha ushamba Dogo Be Gentleman,

Anonymous said...

chobaaa aah haya kaka we jilie tausi mana hili wala sio bata

Anonymous said...

Du na nyie kinachowauma ni nini?Ray ni mweupe so akipaka tu lotion ni lazima ang'ae acheni wivu.

Anonymous said...

Acha ushamba fala wewe Thailand umefikia sweken kwenye mageto halafu unajishauashaua waru wanakula maisha wako Grand Centara lakini hawasemi uliza wafadhili wako wakwambie Grand Centara ni nini ? Sio unajidaodai pimbi wee watu wanakula maisha bwaba alaaa

Anonymous said...

Huna lolote unasafiria nyota za wenzio umefikia maghetoni thailand unapajua platinum mall ww? Au mbk?fala we